Kuna ulazima mpenzi wa sasa ajue mahusiano yaliyopita?

Kuna ulazima mpenzi wa sasa ajue mahusiano yaliyopita?

Kwa mimi sioni kama kuna ulazima, yaliyopita yamepita mimi naanza nae pale tulipokutana. Ila kama alipata watoto huko alikopita hii ndio muhimu nijue ila mengine akae nayo.
 
kwa mwanaume, hakikisha unafanya vetting ya mtu anaetaka kumfanya mkeo, ni muhimu sana!
usipofanya vetting unaweza kuta unaoa kahaba, au binti ambae alivunja ndoa za watu, au mwingine unakuta alikua anazini na baba yake (au ndugu wa damu)

mwanaume unatengeneza kizazi chako, linda kizazi chako kwa kutafuta mke bora (mwenye uafadhali)
 
Back
Top Bottom