fitna
JF-Expert Member
- Jan 29, 2014
- 420
- 217
Mimi Sikusoma na Sare aina yototetangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Sikusoma na Sare aina yototetangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
We kweli mtoto mdogo Hakuna unachojua. Km hujui ukweli kwanini usikae kimya lazima uandike?tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Wewe unawazaga mambo ya dini tuWatoe tu hayo mavazi ya kidini....kujifunika kunawabagua wenyewe.
Hayo ni mawazo finyu kama hivyo wote wavae sketi au kaptula maana wanaleta Ujinsi na kubaguana wenyewe..Watoe tu hayo mavazi ya kidini....kujifunika kunawabagua wenyewe.
Sio nyeupe na bluu tu,Kuna khaki,na kijani(sketi).tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika