Kuna ulazima/umuhimu wa kufuatilia mienendo ya mke unaeishi nae mbali!?

Kuna ulazima/umuhimu wa kufuatilia mienendo ya mke unaeishi nae mbali!?

Mzee Mchochezi

Senior Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
125
Reaction score
242
Salaaam kwenu wadau

Kama mada inavyojieleza

Uko na mke mmefunga ndoa na mna watoto

Kutokana na sababu za kikazi ,inafikia hatua mnaishia mikoa tofauti, mke mkoa Z mume mkoa B. Mke yuko na watoto na mume Yeye anaishi mwenyewe. Siku za nyuma mawasiliano yanakua mazuri ,ila baada ya miaka kupita mke anaanza kupunguza mawasiliano, hali inazidi kuwa mbaya.

Baada ya Muda unapata tetesi kuwa mkeo anachepuka, na ukiunganisha doti jinsi ndoa yenu ilivyo unapata hisia asilimia kadhaa kwamba hapa kweli mke anachepuka.

Sasa kwa mtu kama huyu kuna haja ya kuendelea kufuatilia nyendo zake au ni kukausha na kuendelea na 50 mwisho kuivunja ndoa kimya kimya,maana haya masuala yanaumiza sana moyo hasa ukishajua kinachoendelea.

Kipi cha muhimu kukaa kimya au kufuatilia nyendo zake!!!????

NB: Mume anamtembelea mke wake mara kadhaa kuangalia familia na kupiga show na mke wake, ila mambo ndo yanakuwa hivyo.
 
Ukitaka kufa mapema fuatilia wanawake mkulu

Ukitaka kuishi vyema muda mrefu usiwe na time nao

Waone kama zagazaga tu
Utakapoletewa mimba ya mdau humo ndani ndo utajua nini maana ya kutokuwa na time nao na kumuona mke wako zagazaga, unless uwe unazungumzia vimada {sio mke}.

We kama ni mwanaume kweli huwezi kuogopa kujua uchafu wa mwanamke wako, ujue kisha fanya maamzi ya kiume sio kulea ujinga.
 
Salaaam kwenu wadau

Kama mada inavyojieleza

Uko na mke mmefunga ndoa na mna watoto

Kutokana na sababu za kikazi ,inafikia hatua mnaishia mikoa tofauti, mke mkoa Z mume mkoa B. Mke yuko na watoto na mume Yeye anaishi mwenyewe. Siku za nyuma mawasiliano yanakua mazuri ,ila baada ya miaka kupita mke anaanza kupunguza mawasiliano, hali inazidi kuwa mbaya.

Baada ya Muda unapata tetesi kuwa mkeo anachepuka, na ukiunganisha doti jinsi ndoa yenu ilivyo unapata hisia asilimia kadhaa kwamba hapa kweli mke anachepuka.

Sasa kwa mtu kama huyu kuna haja ya kuendelea kufuatilia nyendo zake au ni kukausha na kuendelea na 50 mwisho kuivunja ndoa kimya kimya,maana haya masuala yanaumiza sana moyo hasa ukishajua kinachoendelea.

Kipi cha muhimu kukaa kimya au kufuatilia nyendo zake!!!????

NB: Mume anamtembelea mke wake mara kadhaa kuangalia familia na kupiga show na mke wake, ila mambo ndo yanakuwa hivyo.
Muhimu sana mkuu Ufuatilie maana unaweza kuvaa kinga wewe kwenye ku cheat kwako ukafa kwa uaminifu wako kwa huyo mkeo
 
Salaaam kwenu wadau

Kama mada inavyojieleza

Uko na mke mmefunga ndoa na mna watoto

Kutokana na sababu za kikazi ,inafikia hatua mnaishia mikoa tofauti, mke mkoa Z mume mkoa B. Mke yuko na watoto na mume Yeye anaishi mwenyewe. Siku za nyuma mawasiliano yanakua mazuri ,ila baada ya miaka kupita mke anaanza kupunguza mawasiliano, hali inazidi kuwa mbaya.

Baada ya Muda unapata tetesi kuwa mkeo anachepuka, na ukiunganisha doti jinsi ndoa yenu ilivyo unapata hisia asilimia kadhaa kwamba hapa kweli mke anachepuka.

Sasa kwa mtu kama huyu kuna haja ya kuendelea kufuatilia nyendo zake au ni kukausha na kuendelea na 50 mwisho kuivunja ndoa kimya kimya,maana haya masuala yanaumiza sana moyo hasa ukishajua kinachoendelea.

Kipi cha muhimu kukaa kimya au kufuatilia nyendo zake!!!????

NB: Mume anamtembelea mke wake mara kadhaa kuangalia familia na kupiga show na mke wake, ila mambo ndo yanakuwa hivyo.
Kufuatilia kuna umuhimu wake. But i can tell you usually huwa haina mwisho mzuri. Either uta find kitu kitakachokuvunja moyo or you will end up kuonekana insecure.

It depends mko katika hali gani kwa sasa
 
Back
Top Bottom