Kuna ulazima wowote kidini au kimila kulia unapofiwa?

Kuna ulazima wowote kidini au kimila kulia unapofiwa?

Sheillah Sheillah

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2020
Posts
653
Reaction score
1,698
Habari,

Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia?

Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia? Kwani mtu kuhuzunika ni lazima alie? Au kwani kulia ni lazima? wasipolia ndio inaonekana kifo hakijawaumiza? na hata kama kifo hakijawaumiza nyie mnakasirika nini,?

Kuna watu wakisikia tu mtu kafiwa, halafu waone amependeza zake hajachakaa sura, akiona cha kuchekesha anacheka na simu anatumia anaingia mtandaoni wanakasirika hatari, utasikia "umefiwa mara hii tayari upo sawa na mtandaoni unaingia na kucheka unacheka"..mimi naona ni kama kuwaonea wivu wafiwa.

Kila mtu ana namna yake ya kuomboleza, tuache kuwaletea makasiriko wafiwa wanaoweza kuhandle msiba vizuri.
 
Screenshot_20241226-213556~2.jpg
 
Siku ukifiwa utajua majibu ya hili ni nini.

Utashika simu ukilia
Utapokea simu ukimaliza kuzungumza utalia
Utakula hata kama ni pilau utakapomaliza tu utalia
Yani utakojoa huku ukilia
Utajipamba lipstick na urembo na bado utalia tu

Kuhandle msiba vizuri?.
 
Habari,

Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia?

Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia? Kwani mtu kuhuzunika ni lazima alie? Au kwani kulia ni lazima? wasipolia ndio inaonekana kifo hakijawaumiza? na hata kama kifo hakijawaumiza nyie mnakasirika nini,?

Kuna watu wakisikia tu mtu kafiwa, halafu waone amependeza zake hajachakaa sura, akiona cha kuchekesha anacheka na simu anatumia anaingia mtandaoni wanakasirika hatari, utasikia "umefiwa mara hii tayari upo sawa na mtandaoni unaingia na kucheka unacheka"..mimi naona ni kama kuwaonea wivu wafiwa.

Kila mtu ana namna yake ya kuomboleza, tuache kuwaletea makasiriko wafiwa wanaoweza kuhandle msiba vizuri.
mtoa mada umewahi kufiwa? na baba, mama, mume, mtoto kaka yako mliyepatana sana umewahi? usijefikiri wanaofiwa wanajifanyisha
 
Habari,

Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia?

Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia? Kwani mtu kuhuzunika ni lazima alie? Au kwani kulia ni lazima? wasipolia ndio inaonekana kifo hakijawaumiza? na hata kama kifo hakijawaumiza nyie mnakasirika nini,?

Kuna watu wakisikia tu mtu kafiwa, halafu waone amependeza zake hajachakaa sura, akiona cha kuchekesha anacheka na simu anatumia anaingia mtandaoni wanakasirika hatari, utasikia "umefiwa mara hii tayari upo sawa na mtandaoni unaingia na kucheka unacheka"..mimi naona ni kama kuwaonea wivu wafiwa.

Kila mtu ana namna yake ya kuomboleza, tuache kuwaletea makasiriko wafiwa wanaoweza kuhandle msiba vizuri.
Ngoja wataalam wa kibra ,, wamchinje mwanao pekee tuone utakavyocheka na kufanya sherehe.
 
mtoa mada umewahi kufiwa? na baba, mama, mume, mtoto kaka yako mliyepatana sana umewahi? usijefikiri wanaofiwa wanajifanyisha
Nimefiwa na wazazi wote na najua maumivu ya kufiwa. lakini hiyo hainipi sababu kwamba nikiona mtu kafiwa na halii nione ni wa ajabu. Leo hii tunaenda kwenye misiba tukiona watoto wa marehemu hawalii tunakasirika kwanini hawalii, kwani ni lazima kulia?
 
Siku ukifiwa utajua majibu ya hili ni nini.

Utashika simu ukilia
Utapokea simu ukimaliza kuzungumza utalia
Utakula hata kama ni pilau utakapomaliza tu utalia
Yani utakojoa huku ukilia
Utajipamba lipstick na urembo na bado utalia tu

Kuhandle msiba vizuri?.
Hii inamaana nikifiwa nisipolia nitakuwa wa ajabu?
 
Habari,

Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia?

Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia? Kwani mtu kuhuzunika ni lazima alie? Au kwani kulia ni lazima? wasipolia ndio inaonekana kifo hakijawaumiza? na hata kama kifo hakijawaumiza nyie mnakasirika nini,?

Kuna watu wakisikia tu mtu kafiwa, halafu waone amependeza zake hajachakaa sura, akiona cha kuchekesha anacheka na simu anatumia anaingia mtandaoni wanakasirika hatari, utasikia "umefiwa mara hii tayari upo sawa na mtandaoni unaingia na kucheka unacheka"..mimi naona ni kama kuwaonea wivu wafiwa.

Kila mtu ana namna yake ya kuomboleza, tuache kuwaletea makasiriko wafiwa wanaoweza kuhandle msiba vizuri.
Actually,
naepaswa kulia na kuhuzunika zaidi ni yule aliekufa, kwasabb anaenda pasipojulikana akiwe pekeyake 🐒
 
Habari,

Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia?

Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia? Kwani mtu kuhuzunika ni lazima alie? Au kwani kulia ni lazima? wasipolia ndio inaonekana kifo hakijawaumiza? na hata kama kifo hakijawaumiza nyie mnakasirika nini,?

Kuna watu wakisikia tu mtu kafiwa, halafu waone amependeza zake hajachakaa sura, akiona cha kuchekesha anacheka na simu anatumia anaingia mtandaoni wanakasirika hatari, utasikia "umefiwa mara hii tayari upo sawa na mtandaoni unaingia na kucheka unacheka"..mimi naona ni kama kuwaonea wivu wafiwa.

Kila mtu ana namna yake ya kuomboleza, tuache kuwaletea makasiriko wafiwa wanaoweza kuhandle msiba vizuri.
Ukilewa usichati
 
Back
Top Bottom