Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,994
- 4,729
Wamemquote huko juuKafanyaje tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemquote huko juuKafanyaje tena
Ulifanikiwa kujua ladha ya chakula Cha msibani bac jua msiba haukuhusu kwaleo ngoja niishie apaHabari,
Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia?
Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia? Kwani mtu kuhuzunika ni lazima alie? Au kwani kulia ni lazima? wasipolia ndio inaonekana kifo hakijawaumiza? na hata kama kifo hakijawaumiza nyie mnakasirika nini,?
Kuna watu wakisikia tu mtu kafiwa, halafu waone amependeza zake hajachakaa sura, akiona cha kuchekesha anacheka na simu anatumia anaingia mtandaoni wanakasirika hatari, utasikia "umefiwa mara hii tayari upo sawa na mtandaoni unaingia na kucheka unacheka"..mimi naona ni kama kuwaonea wivu wafiwa.
Kila mtu ana namna yake ya kuomboleza, tuache kuwaletea makasiriko wafiwa wanaoweza kuhandle msiba vizuri.