mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Watu hawataki kuelewa kwamba kila mtu ana namna yake ya kupitia majonzi.
Na hata kama hajaumia kwa kufiwa na anayesemekana ni mpendwa wake(mtu binafsi ndo anajua nani ni mpendwa kwake), haikuhusu....
Nakumbuka nilipofiwa na mzee sikulia, machungu yalikuja kunishika miezi mingi baadae
Na hata kama hajaumia kwa kufiwa na anayesemekana ni mpendwa wake(mtu binafsi ndo anajua nani ni mpendwa kwake), haikuhusu....
Nakumbuka nilipofiwa na mzee sikulia, machungu yalikuja kunishika miezi mingi baadae