Kuna ulazima wowote kidini au kimila kulia unapofiwa?

Hakuna anatolia kwa ajili ya show off, kulia ni tendo la asili litokanalo na hisia zinazoumiza.

Hivyo hisia hizo za maumivu ndio huamua ulie au ubaki mkavu.

Haulii kuonesha watu.
 
Ulifanikiwa kujua ladha ya chakula Cha msibani bac jua msiba haukuhusu kwaleo ngoja niishie apa
 
Si lazima, nilifiwa na mzee nikakausha kikauzu tu ili nisiwahuzunishe wadogo zangu watano kwa muda ule.
nilikuja kulia peke yangu miaka 20 iliyofuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…