Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
Uko sawa kabisa yaan watu wananuka ......hata kama ni umasikin lakin ndoo ya maji...na sabun ni shiling ngap ....na vi pafyum mpka buku vipo ama deodorant.....

Bora wadada sio sio wanaume inatisha
 
Usafi/unadhifu ni hulka ya mtu na wala si umaskini/utajiri.

Kuna Mheshimiwa mmoja ambae sasa ni Naibu Waziri, niliwahi kutana nae akiwa katibu wa wizara fulani, yule jamaa ana jasho kali mixer kunuka kinywa kiasi cha kuwa kero. So it all comes down to mtu husika na anavyochukulia swala la usafi wa mwili.

Kuna watu wana hulka ya uchafu tu.
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
Dah!
 
Hili somo la usafi wa mwili lifundishwe toka chekechea kwa njia ngumu ikiwemo viboko na kuwaanika wale watakaoonekana wanakiuka viwango vya usafi mbele ya wanafunzi wenzao. Ukijenga hiyo nidhamu kule chini huku juu huwezi kupata tatizo kubwa.
Mbona hilo linafanyika miaka yote
 
Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua?

Najua wanaume hatupaswi kufuatiliana, lakini kuna mipaka! Maisha yamekuwa magumu? Sawa. Lakini kuna kile kiwango cha chini kabisa cha kujiheshimu—bare minimum! Usiseme hauna hela, kuna hata vile viperfume vya buku unajipaka, lakini hapana, wewe umeridhika na harufu yako ya kufa mtu.

Bora yangeishia hapa, lakini hapana, kuna wale ambao wamevaa boxer ya wiki nzima bila kufua! Aisee, ukikaa kwenye siti, halafu mtu akashika bomba pembeni yako, unaweza kupatwa na kiwewe kwa mshangao wa kugundua tofauti pekee kati binadamu na beberu ni manyoya! Na hata hilo beberu linaweza kuwa safi zaidi.

Acha uvivu wa kujitunza. Tuache kutesana. Usituletee hewa chafu asubuhi na mapema!
kwani wewe haujui maji hayapatikani?,na yakipattikana dumu moja jero na unakuta mhusika anafanya kazi soko la samaki feri,sasa anaona ata akiog haisadii ki2,kwani akifika feri baada ya nusu saa tu atanuka shombo,,,sasa anaona kuoga ni kupoteza muda!!!,.......alafu kuna wa2 wengine kama mimi,naona kuoga ni kamakupunguza unene wa ngozi!!!
 
Back
Top Bottom