Vanclassic
Member
- Sep 9, 2024
- 32
- 76
Ndugu zangu Kama mnavoona heading. Hivi kuna umuhim gani wa kupigwa muhuri wa mwanasheria kwenye vyeti vya elimu.
Ikiwa hivo vyeti vinatoka serikalini je Mwansheria yeye anathibitisha vipi kwamba hivyo vyeti ni fake au oghiyo imetokea kwa rafiki yangu ambae aliomba kazi shirika La reli TRC. Wamemkata na sababu waliompa ni ACADEMIC CERTIFICATE not certified by advocate.. Hiyo imekaaje?
Ikiwa hivo vyeti vinatoka serikalini je Mwansheria yeye anathibitisha vipi kwamba hivyo vyeti ni fake au oghiyo imetokea kwa rafiki yangu ambae aliomba kazi shirika La reli TRC. Wamemkata na sababu waliompa ni ACADEMIC CERTIFICATE not certified by advocate.. Hiyo imekaaje?