macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
I wish ungejua kuwa hili ni takwa la kisheria na siku ukipatikana kuwa ulipeleka vyeti vya uongo uchukuliwe hatua za kisheria.Hii nchi mzee kuna watu wakiwa maofisini kwenye vile viti vya kuzunguka kila wanalofikiria huwa wanaona ni jambo njema tu!
Kati ya maamuzi ya kijinga yaliyopewa baraka na Siri-kali ni haya ya mhuri wa mwanasheria!