Ttz mkishajua kama ulikuwa unatumia 100 na inatosha utataka 300 ili mradi tu πHatujuagi π€£ watu wanaficha salaly slip utadhani wanaficha bangi
Janja ya sungura kwa fisiChangu chetu,chako chako
Sasa je, na balaa ndo lilipo.Ttz mkishajua kama ulikuwa unatumia 100 na inatosha utataka 300 ili mradi tu π
Unataka uanze kukimbizana na salio πSasa je, na balaa ndo lilipo.
Au kuchungulia sms,, umeomba hela asubuhi kakwambia ngoja kesho.
Sasa ukishika simu na ukaona sms ya m pesa na salio jipya vimetuna lazima unune π
Afadhali hata bangi tena na polisi wanaweza kugongeaHatujuagi [emoji1787] watu wanaficha salary slip utadhani wanaficha bangi
NakaziaMkeo anatakiwa ajue kipato chako ulichokua unalipwa ukisha kufa tuu tofauti na hapo usithubutu
Hakuna kupitisha malipo kama atakavyo kuwa ameleta lazima kufanya uhakiki wa/na kupunguza hata kama uwezo unaoNa akiona mahitaji yake unaya pangua kama unashuka mlima anaongeza mdg mdg mpka aone unaanza kutoa ulimi nje
Sanamu lako tutalijenga Hapa Msamvu Round Aboutmnoo..but the viceversa its not...
lingine jenga kitope roadπ€£πSanamu lako tutalijenga Hapa Msamvu Round About
NAKAZIA SANAAcha mshahara tu, hata hela unayompa mama yako asijue
Wana wivu wa kijinga sana
We una mke?Kamwe usithubutu mkeo akajua kipato chako. Migogoro yote itaanzia hapo hata akijua ajue cha uongo