Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa kuamini katika kitu ambacho practice yake haivuki 10%Mkuu Matrix19 mimi ninachojua Tanzania kuna viongozi ambao wamepatikana kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo na wanaendelea kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama walichoombea idhini ya kuwatumikia Watanzania.
asante kwa kuniwahi nlitaka kumkumbusha huenda akakumbukwa kwenye ufalme wa SHHAisee Tozo zenyewe zinaongea kwenye miamala tunayofanya hatuhitaji maelezo mengine. Alafu mkuu umesahahu kuweka namba ya simu na email
Lakini wafujaji huwa wanachukuliwa hatua gani? Mbona wana habari wanakaa kimya kuhusu mambo ya msingi kama hayo kwenye maeneo yao? Kuna mantiki gani kutuelimisha tozo tu na kuacha mambo mengine yanayohalalisha ulipaji wa tozo hizo?Ni kweli Wananchi wana haki kujua matumizi ya fedha zao, ndio maana CAG huwa anatoa report ya matumizi ya Serikali Tangawizi