Kwa hiyo hata kama haifanyi kazi kwa uweledi iachwe tu kwakua historia ndivyo ilivyo?Tume ilikuwa hivyo tangu Tanzania Bara ipate uhuru, Enzi za Mwl ilikuwa hivo, za Ruksa ilikuwa hivo, wakati wa Rais Mkapa na Kikwete ilikuwa hivyo!! Sasa kelele za nini? Awamu ya tano inaendeleza yale mazuri yaliyokuwepo. Period.
Binafsi sioni umuhimu. It is just a waste of time and tax payer's money. Magufuli and CCM should just carry on maana kupigwe kura kusipigwe kura the end result is the same.Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?
Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?
2020 naona umiamua kuja kivingine.. hongera mwananguLeo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?
Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?
Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?
Binafsi sioni haja ya kuwa na uchaguzi ambao ni kiini macho. Anaeteua wasimamizi wa uchaguzi alishawahi kuwaambia (tena hadharani) kuwa: "mshahara nikulipe mimi, gari nikupe mimi halafu wewe umtangaze mpinzani kuwa ndie mshindi?
Bila tume huru ya uchaguzi hakuna kushiriki ,Kama ilivyokuwa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Naona ilikua mifukoni mwao sasa imetoboka !Miaka yote mlikuwa mnapiga kura time ilikuwa kwenye mfuko wa nani?
Hata hiyo Tume huru wanayoitaka hawaijui, unadhan utaipataje?Tutaipataje tume huru? Tuanzie hapa
Mbowe kushiriki au kutoshiriki huo ni uamuzi wake na chama chake, ila sisi wapiga kura tunaojitambua tumeshafanya maamuzi, kama hakuna tume huru ya uchaguzi, hatushiriki uchaguzi wa kishenzi fullstop.
Wewe ndio msemaji wa Wapiga Kura nchini?
Kiinimamacho kivipi fafanua.
Tusiwadanganye wananchi wakakosa kutumia haki yao kikatiba kushiriki kupiga Kura 2020
Utajuaje wingi wa kura za upinzani ndani ya sanduku ambavyo kura ni siri ys mtu?Kimsingi tunahitaji tume huru ya uchaguzi ,tunahitaji katiba ifuatwe na isikiukwe kabisa.
Tatizo ni namna ya kuipata hyo tume ndo shughuli ,bila ya katiba mpya yenye kuendana na mahitaji ya jamii kwa Sasa bdo hili Jambo linakuwa gumu Sana ,but one thing tunaweza kufanya ni kuacha Mara moja kukataa kuingia katika kupiga kura ,panapo majaaliwa ya m/ mungu tujitokeze tu na tupige kura nyingi za kutosha then ,,wakiiba basi awamu hii viongozi wetu wasikubali tuombe msaada kutoka nje ,tusaidiwe ,ikibidi hata iundwe serikali ya mseto ,manake tumechoka Sasa dah [emoji848][emoji848][emoji3525]
Sent using Jamii Forums mobile app