Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi wanashinda bila kupingwa new strategyBora kususa wenzetu mle, kuliko tushiriki na bado tusile. Kimsingi sasa hivi hamna uwezo tena wa ushindani maana kizazi hiki hakiko na chama cha zamani, hivyo namna pekee ni nyie kunajisi chaguzi kwa msaada wa vyombo vya dola.
Huyu Rais ni wa kufanyiwa fujo tu Kama Blaise Compaoure wa Burkina Faso
JPM hawezi kuruhusu Tume huru iundwe kwa sababu anaamini juu ya Tanzania ya Magufuli! Hivyo ni kuwa na Akili isiyoku na Akili, kwenda kupiga kura hali ukijua kuwa Kura yako haitaheshimiwa.Hii ni January 01/01/2020. Tuanze kufikiria tutafikaje October na kuanza kufanya implement ions. Tusitegemee kudra.
Propaganda ya Ruzuku dhidi ya CHADEMA inatukera sana ambao tuna Akili yenye Akili.Ndiyo lakini tunahitaji vyama vinavyosaidia watz siyo wala ruzuku tu kama Chadema wanashindwa hata kujenga ofisi wakati wanapewa ruzuku ya almost 350million per month lakini zinaishia kwenye matumbo ya kina Mbowe na genge lake.
Kama Akili yako inafanya kazi ,ungekuwa umeelewa siku nyingi kuwa Uchaguzi wa Serekali za Mitaa 2019,Ukisusa wenzio wala !
Asikudanganye MTU, upinzani ndani ya ccm Ni kusababisha mauaji.Ona jinsi wanavyomkomalia membeHapo sawa upinzani wa maana ndani CCM utasaidia kuinua maendeleo ndani na nchi kwa ujumla!
HahahaNawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghoshaa
[emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16]
Hiki ndo kipindi cha kushiriki mchakato wa uchaguzi na kupiga kelele zaidi kuhusu umuhimu wa tume huru! Tutafanya kelele itakayowaamsha majirani wa karibu na mbali na this there’s no giving up!Kupiga kura bila tume huru hasa kipindi hiki ambacho dictator anagombea ni uwebdawazimu uliopitiliza.
Sky Eclat mimi nawashauri sio tu wasipige kura, hata kugombea wasigombee. Wafanye kama Serikali za Mitaa. Mbona itakuwa poa tu!!!Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya.
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga kura?
Wengi wanadai tume huru ya uchaguzi. Muda tulionao utatosha kuiandaa tume huru na iwe tayari kufanya kazi October 2020? Kama wazo lenyewe la tume huru halijawasilishwa wala kupokelewa?