Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Wanabodi, imekuwa kawaida kwa Bucha zetu nchini kuuza nyama na mifupa yake. Awali walitumia mashoka kupasua mifupa hiyo na sasa misumeno inayoendeshwa na umeme imetamalaki.
Kwa hali ilivyo sasa katika Bucha nyingi, mifupa ni muhimu katika kutengeneza faida kwao na karaha kwa walaji.
Uwa najiulizi, kwanini mifupa iwepo. Na uwa nadhani, kutokana na ubora hafifu wa ng'ombe zetu kupelekea kukosa nya za kutosha.
Kama Kuna umuhimu wa mifupa, Basi Mamlaka husika zisimamie vizuri mizani za Bucha zetu. Na ikibidi, Iwe sheria kutumia mizani za kidigitali.
Au, Iwe sheria kuuza nyama na sio mifupa.
Kwa hali ilivyo sasa katika Bucha nyingi, mifupa ni muhimu katika kutengeneza faida kwao na karaha kwa walaji.
Uwa najiulizi, kwanini mifupa iwepo. Na uwa nadhani, kutokana na ubora hafifu wa ng'ombe zetu kupelekea kukosa nya za kutosha.
Kama Kuna umuhimu wa mifupa, Basi Mamlaka husika zisimamie vizuri mizani za Bucha zetu. Na ikibidi, Iwe sheria kutumia mizani za kidigitali.
Au, Iwe sheria kuuza nyama na sio mifupa.