Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Ushalewa pilau jazia na mbege ulaleWanabodi, imekuwa kawaida kwa Bucha zetu nchini kuuza nyama na mifupa yake. Awali walitumia mashoka kupasua mifupa hiyo na sasa misumeno inayoendeshwa na umeme imetamalaki.
Kwa hali ilivyo sasa katika Bucha nyingi, mifupa ni muhimu katika kutengeneza faida kwao na karaha kwa walaji.
Uwa najiulizi, kwanini mifupa iwepo. Na uwa nadhani, kutokana na ubora hafifu wa ng'ombe zetu kupelekea kukosa nya za kutosha.
Kama Kuna umuhimu wa mifupa, Basi Mamlaka husika zisimamie vizuri mizani za Bucha zetu. Na ikibidi, Iwe sheria kutumia mizani za kidigitali.
Au, Iwe sheria kuuza nyama na sio mifupa.
Nielekeze bucha yako shekh nami nitoe ushuhudaTatizo mnakwenda buchani kununua kilo moja. Na sio nyama kilo moja.......
Kwenye kilo moja unaweza changanyiwa mifupa na nyama, au mifupa, malapulapu , mifuta na nyama kidogo.
Ila ukienda buchani sema nataka kilo moja ya nyama tupu. Utapewa nyama yako ya ng'ombe safii kabisa bila hata mfupa.
Hivi kuna sehemu ukitaka steki wanakataa kuuza? Mimi nilidhani uchaguzi ni wa mnunuzi. i.e. ukitaka bila mfupa basi unapata ila bei inakuwa kubwa. BTW nchi zilizoendelea nyama kama ya ng'ombe ina grades zake. Kula ''cut'' ina bei yake na unaweza kukuta minofu kutoka sehemu fulani bei yake ni ghali kweli kweli. Ukifanya hivyo kwenye mabucha ya uswahilini watu wataangua kilio.Wanauza ila bei inakuwa zaidi ya ile ya mixer mifupa.
Hapana mkuu. Hata mimi binafsi steki tupu bila mfupa siipendi. Sema mifupa isizidi, iwe kiasi.Mimi siku zote nasemaga kwamba hakuna mfupa mtamu kwa ng'ombe.
Utakuta mtu anasema "napenda nyama mfupa" unapenda wapi bhana huna hela kama mimi tu.
Mimi nikiwa na 10K bora nikanunue steki yote kuliko kutoa 8K kununua mchanganyiko,maana katika hiyo alfu nane kuna mifupa ya nailipia ambayo nakwenda kuitupa tu.
Mteja atazoea taratibu sasa bucha nyingi hawakubali kuuza steki tupu lazima akutupie na mifupa waweke bei ya steki tupu na mchanganyiko mteja aamue mwenyeweHivi kuna sehemu ukitaka steki wanakataa kuuza? Mimi nilidhani uchaguzi ni wa mnunuzi. i.e. ukitaka bila mfupa basi unapata ila bei inakuwa kubwa. BTW nchi zilizoendelea nyama kama ya ng'ombe ina grades zake. Kula ''cut'' ina bei yake na unaweza kukuta minofu kutoka sehemu fulani bei yake ni ghali kweli kweli. Ukifanya hivyo kwenye mabucha ya uswahilini watu wataangua kilio.
Then huo ndio ujio wa bei ya nyama tupu na bei ya nyama yenye mifupa.So wote wanaonunuwa nyama kwaajili ya supu.
Mzee wenyewe wanakwambia hivi, Ng'ombe hawezi kutembea bila migupa.Wanabodi, imekuwa kawaida kwa Bucha zetu nchini kuuza nyama na mifupa yake. Awali walitumia mashoka kupasua mifupa hiyo na sasa misumeno inayoendeshwa na umeme imetamalaki.
Kwa hali ilivyo sasa katika Bucha nyingi, mifupa ni muhimu katika kutengeneza faida kwao na karaha kwa walaji.
Uwa najiulizi, kwanini mifupa iwepo. Na uwa nadhani, kutokana na ubora hafifu wa ng'ombe zetu kupelekea kukosa nya za kutosha.
Kama Kuna umuhimu wa mifupa, Basi Mamlaka husika zisimamie vizuri mizani za Bucha zetu. Na ikibidi, Iwe sheria kutumia mizani za kidigitali.
Au, Iwe sheria kuuza nyama na sio mifupa.
Mkuu kuna wengine wanapenda mifupa.Wanabodi, imekuwa kawaida kwa Bucha zetu nchini kuuza nyama na mifupa yake. Awali walitumia mashoka kupasua mifupa hiyo na sasa misumeno inayoendeshwa na umeme imetamalaki.
Kwa hali ilivyo sasa katika Bucha nyingi, mifupa ni muhimu katika kutengeneza faida kwao na karaha kwa walaji.
Uwa najiulizi, kwanini mifupa iwepo. Na uwa nadhani, kutokana na ubora hafifu wa ng'ombe zetu kupelekea kukosa nya za kutosha.
Kama Kuna umuhimu wa mifupa, Basi Mamlaka husika zisimamie vizuri mizani za Bucha zetu. Na ikibidi, Iwe sheria kutumia mizani za kidigitali.
Au, Iwe sheria kuuza nyama na sio mifupa.
Kuna bucha zenye bei ya steki tupu. Nadhani ni chache kwa sababu wateja wake siyo wengi. Mambo mengine yanaendena na maendeleo i.e kipato. Bongo ukianza kuweka grades za ''beef cuts'' kama majuu labda uuze Masaki huko.Mteja atazoea taratibu sasa bucha nyingi hawakubali kuuza steki tupu lazima akutupie na mifupa waweke bei ya steki tupu na mchanganyiko mteja aamue mwenyewe
Haina shida Cha msingi wenye bucha wawe na bei mbili za nyama mchanganyiko na steki tupu sio kuforceUmuhimu wa mifupa ni kwaajili ya kutengeneza supu na kupika vyakula kama ndizi Kuna baadhi ya vyakula haipendezi kupikiwa nyama zisizo na mifupa usiwe kilaza
Kwani unaishi Kijiji gani mzee? Mbona ukitaka steki tupu unapata ni hela yako tu ila kusema mifupa haina faida huo siyo ukweli wengine wanataka nyama kwaajili ya kutengeneza supu, supu inapendeza zaid ikiwa na nyama zenye mifupa pia hata pilau hivyo hivyo , ndizi nayo inapendeza na mifupa, Nyama choma bila mifupa haiwezi kunoga inakua ni mishkaki tu kila kitu kwa ng'ombe kina faida yake.Haina shida Cha msingi wenye bucha wawe na bei mbili za nyama mchanganyiko na steki tupu sio kuforce
Utakuwa na vinasaba vya Diana Zongo na Chid Benz wewe au mbepo imeanza kazi yakeTatizo mnakwenda buchani kununua kilo moja. Na sio nyama kilo moja.......
Kwenye kilo moja unaweza changanyiwa mifupa na nyama, au mifupa, malapulapu , mifuta na nyama kidogo.
Ila ukienda buchani sema nataka kilo moja ya nyama tupu. Utapewa nyama yako ya ng'ombe safii kabisa bila hata mfupa.
Mkuu Morogoro steki elfu 11 na unakatiwa hata kilo kumi. Mchanganyiko na mifupa elfu naneNi Bucha ngapi wanakubali kuuza steki?
Na akikubali kukuuzia juwa ni nyama ya Jana na Juzi mixa na ya Leo kiduchu. Ni majanga.