Kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo?

Kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Na hapa tunaangalia zaidi Jeshini.

Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.

Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
 
hata wasaidiwe vipi, hawawezi kutushinda, kwasababu elimu kwao ni mzigo. elimu elimu elimu.
Kwenye suala la power, elimu huwa ina influence ndogo.

Unaweza kuwa na degree yako lakini huko jeshini utatii amri, mkuu anaweza kuamua kumpandisha cheo hata yule alieishia form 4 huku yule wa degree kabaki na cheo cha kutii amri za huyo wa form 4.
 
Ndio inaajiri wazanzibari wale kina afande Rama.
wanaoliwa tako. 😳😮🥺🙌🙌🙌
Kwa sasa jeshi limeanza kuwangoa mapema,, hii ni habari ya vijana 8 wa hapa bara kuchomolewa mapema

 
Unafahamu idadi ya wanzazibari na idadi ya mkoa wa dar pekee
 
Unafahamu idadi ya wanzazibari na idadi ya mkoa wa dar pekee
Usiangalie wingi, angalia probability ya kupata kazi kwa kigezo tu kwamba una sifa flani.

Tukiangalia wingi basi wasukuma wanafikia hata milioni 18 lakini kwenye ajira wanaisoma namba.
 
Wa zenji ni Wachache halafu kazi za jeshi hawazifagilii kama bongo bongo kazi ya jeshi ni kimbilio la wengi sana mtu akiona plan zake zimefika mwisho au mbele kiza wa nawaza hiyo kitu na serikali haiwezi kumudu watu wote tz wanaopenda jeshi
 
Kuna kambi ya jkt mlandizi 832 wa zenji kama 40 waliomba kuacha kozi ya level 3 mwaka fulani hivi hahahahahhaaaaa unazani a mchezo M bongo a nawaza posho yake 80000 inayoongezeka
 
Wa zenji ni Wachache halafu kazi za jeshi hawazifagilii kama bongo bongo kazi ya jeshi ni kimbilio la wengi sana mtu akiona plan zake zimefika mwisho au mbele kiza wa nawaza hiyo kitu na serikali haiwezi kumudu watu wote tz wanaopenda jeshi
Naomba uwe unaelewa maana kabla ya kujibu,, Post inazungumzia wanaokenda na kumaliza mafunzo jeshini, hao ndio wanaozungumziwa hapa.
 
Kuna kambi ya jkt mlandizi 832 wa zenji kama 40 waliomba kuacha kozi ya level 3 mwaka fulani hivi hahahahahhaaaaa unazani a mchezo M bongo a nawaza posho yake 80000 inayoongezeka
Nlipiga mujibu hapo kaka! Wazenji wale wa kujitolea walikua wengi sana
 
Sasa anayeniambia anaomba nielewe kwani mi nimezungumzia wanaoenda CCM ama aje
 
Back
Top Bottom