Kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo?

Kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo?

Mbona lipo wazi hilo mkuu since day one!?
Na hapa tunaangalia zaidi Jeshini.

Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.

Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
 
hata wasaidiwe vipi, hawawezi kutushinda, kwasababu elimu kwao ni mzigo. elimu elimu elimu.
Kweli nilikuwa Zanzibari.miezi miwili iliyopita , CCM ikatangaza nafasi za kujiunga na jeshi la Magereza Tanzania kwa vijana waki Zanzibar, Vigezo vyao lazima uwe na kadi ya chama cha mapinduzi, Elimu kuanzia form two, lakini vijana wengi wao walikuwa wanakataa kwenda kwa kisingizio hawataweza kurudi Zanzibar tena kikazi, Mimi nikajiuliza Magereza siyo jeshi la Muungano na Zanzibar wana jeshi lao la Magereza mbona watanganyika haruhusiwi kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom