Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
2020Mwaka gani mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2020Mwaka gani mzee
We ulikua mwaka gnSafiiii umeiva
Kama ni Watanzania ndo wapewe upendeleo,. Rudi kwenye madaKwani wazanzibari sio watanzania?
Ushasema wazanzibari. Hamjui kuwa hawa ni magabacholi kama magabacholi wengine hata kama gabacholi mwenzao sasa ni rahisi wenu? Wale wanajiona waarabu zaidi sawa na wasudan kuliko wabara wanaowaita machogo utadhani wao hawana hivyo vichogo ukiachia mbali kuwa wengi ni mabaki ya watumwa na manamba waliochukuliwa Angola, Malawi, DRC, Zimbabwe na Nchumbiji.Na hapa tunaangalia zaidi Jeshini.
Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.
Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
Wanaopendelewa jeshini Ni watu wa Mara hasa wakurya na wazanaki.Na hapa tunaangalia zaidi Jeshini.
Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.
Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
Wazanzibari ni wasukuma wanayamwezi Makonde ndengereko wadigo wabondei wazaramo kwa kifupi hao ni wabongo wenzetuNa hapa tunaangalia zaidi Jeshini.
Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.
Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
Kuna haja ya kupitia upya muungano huu fake ambao akiwa rais Mzanzibari kila kitu ni kwa wazanzibari kama ilivyo sasaNa hapa tunaangalia zaidi Jeshini.
Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.
Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
Wazanzibari ni wasukuma wanayamwezi Makonde ndengereko wadigo wabondei wazaramo kwa kifupi hao ni wabongo wenzetu
Sio mzigo tu bali pia ni wavivu ma mwinyi wana roho mbaya wanafiki wa zanzibar wanajiona waarabu.hata wasaidiwe vipi, hawawezi kutushinda, kwasababu elimu kwao ni mzigo. elimu elimu elimu.
Waajiriwa wengi wa keshi, ni vijana ambao hawaja anza maisha, ukisema eti waajiriwa wengi ni wale waliopoteza ramani ni uongo.Wa zenji ni Wachache halafu kazi za jeshi hawazifagilii kama bongo bongo kazi ya jeshi ni kimbilio la wengi sana mtu akiona plan zake zimefika mwisho au mbele kiza wa nawaza hiyo kitu na serikali haiwezi kumudu watu wote tz wanaopenda jeshi
Vigezo vya Mbara na Mzenji haviringani. Sifa inayoangaliwa kwa Mzanzibar ni awe amelege**ea vizuri.Na hapa tunaangalia zaidi Jeshini.
Niliwahi sikia stori mzanzibari si mwenzako mnapomaliza mafunzo JKT, wewe mtu wa bara uliezaliwa na kukulia hapa bara utaenda JKT na kujitolea hata miaka lakini mwisho wa siku utaambiwa umeiva sasa urudi kwenu kuendelea na shughuli zingine, Ila wazaznibari huwa wanabakizwa wanapigiwa pasi fasta kuingia JWTZ, polisi, usalama, magereza, zima moto, uhamiaji, n.k.
Pia na huko kwenye majeshi ni vipi, kuna upendeleo maalum wa wazanzibari kupendelewa katika vyeo vizito vizito?
Anazungumzia upendeleo. Kwa nini visitumike vigezo wakati wa kuajiri?Kwani wazanzibari sio watanzania?
Wazanzibari lazima wachukuliwe kwa wingi kwasababu hawapo wengi ukilinganisha na watu wa Tanganyika na pia jeshi ni la muungano.Anazungumzia upendeleo. Kwa nini visitumike vigezo wakati wa kuajiri?
Tutakuwa na jeshi la namna gani kama ajira zinatolewa kwa sababu tu watu fulani wako wachache bila kutilia maanani weledi?!Wazanzibari lazima wachukuliwe kwa wingi kwasababu hawapo wengi ukilinganisha na watu wa Tanganyika na pia jeshi ni la muungano.
Mpaka umeona wanachukuliwa ujue wana uweledi hawajachukuliwa bure bureTutakuwa na jeshi la namna gani kama ajira zinatolewa kwa sababu tu watu fulani wako wachache bila kutilia maanani weledi?!
Kwa vyeo vipi sasa? Kuanzia luteni, cheo ni kwa mujibu wa sheria na taratibu, sio boss au mkubwa!Kwenye suala la power, elimu huwa ina influence ndogo.
Unaweza kuwa na degree yako lakini huko jeshini utatii amri, mkuu anaweza kuamua kumpandisha cheo hata yule alieishia form 4 huku yule wa degree kabaki na cheo cha kutii amri za huyo wa form 4.