Kuna utapeli mpya umeingia nchini wanaigeria kuweni makini

Kuna utapeli mpya umeingia nchini wanaigeria kuweni makini

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Kuna utapeli mpya bila shaka ni wanaigeria Kuna kitu linaitwa task mtu yupo tayari akutumia hata laki bure ila ukijaa lazima uliwe🤣🤣

Kuna jamaa yangu alikuwa anapitia kipindi kigumu maisha kupewa fursa ya task akahisi ni Mungu amemshushia neema kutumiwa pesa za bure kumbe wajuba wapo kazini nao haya maisha🤣🤣
 
Hehe nimewala vibuku 2 vyao nikasepa nilikula kama buku 10 hv step zinazofata nikaona mambo ya kujisajili binance baadae uweke hela ufanye kozi zao nkaona hapa oooh,, ila kuna watu wanawapata nimeona kwenye group lao kuna watu baada ya kupokea vile vi buku 2 vya mwanzo wamepumbazika wanaendelea na hizo process za binance,,,jamaa watakuja kuliwa kama deci
 
Hehe nimewala vibuku 2 vyao nikasepa nilikula kama buku 10 hv step zinazofata nikaona mambo ya kujisajili binance baadae uweke hela ufanye kozi zao nkaona hapa oooh,, ila kuna watu wanawapata nimeona kwenye group lao kuna watu baada ya kupokea vile vi buku 2 vya mwanzo wamepumbazika wanaendelea na hizo process za binance,,,jamaa watakuja kuliwa kama deci
Jamaa ni kama wameamua kuuboresha utapeli ule tulikuwa tunafanya sisi watanzania mitaani
 
HAHAH HAO JAMAA JUZI TU WAMENIPA TASK ETI ZA KURATE HOTEL KUZIPA 5 STAR HALAFU KILA TASK WANAKUPA ELFU TANO, NMEWALA ELFU 30 WAKANIAMBIA SASA NATAKIWA KULIPA ELFU 80 ILI WANIWEKE KWENYE KUNDI LA KUPEWA TASK ZA KULIPWA LAKI TATU KWA SIKU, NILISHAWASHTUKIA KITAMBO SANA,..😂
 
Hii utapigwa tu ukiwa na tamaa, sasa unaambiwa ukimtumia hela merchant kama ni 50000 unatumiwa 65,000 comission yako hapo ni 15,000 we uliona wapi hela za bure hivo.
 
Hii utapigwa tu ukiwa na tamaa, sasa unaambiwa ukimtumia hela merchant kama ni 50000 unatumiwa 65,000 comission yako hapo ni 15,000 we uliona wapi hela za bure hivo.
Huyu jamaa yangu aliambiaa uwekezaji unaanza na elfu 30 akaona Wacha apoteze tu baada ya muda akatumiwa pesa yenye faida baadae akawekeza pesa ili apate faida kubwa akawekeza akalipwa tena faida akaamua kujilipua ikawa ndio hivyo tena nitolee
 
Kuna utapeli mpya bila shaka ni wanaigeria Kuna kitu linaitwa task mtu yupo tayari akutumia hata laki bure ila ukijaa lazima uliwe🤣🤣

Kuna jamaa yangu alikuwa anapitia kipindi kigumu maisha kupewa fursa ya task akahisi ni Mungu amemshushia neema kutumiwa pesa za bure kumbe wajuba wapo kazini nao haya maisha🤣🤣
Afu ikawaje
 
Back
Top Bottom