Kuna uwezekano Freeman Mbowe asifikishwe Mahakamani Kisutu leo. Kesi kuendeshwa kwa njia ya Video

Kuna uwezekano Freeman Mbowe asifikishwe Mahakamani Kisutu leo. Kesi kuendeshwa kwa njia ya Video

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.

Chadema Wapo Viunga vya Kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.

Tuendelee kufuatilia kwa karibu

=====
UPDATES;

=====

Mahakamani kuna wanachama wa Chadema wamekuja na Mabango. Getini Ulinzi Mkali na Wachache wameingia.

IMG_20210805_093836_2.jpg
 
Kwa hiyo chadema/Polisi wanapigia mswaki mahakamani
 
Salaam Wakuu,

Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.

Chadema Wapo Viunga vya kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.

Tuendelee kufuatilia kwa karibu
I have the same thinking! Let us wait and see. Isije kuwa wameshamuua! Kila kitu kinawezekana maana Sammy kapania
 
Salaam Wakuu,

Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.

Chadema Wapo Viunga vya kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.

Tuendelee kufuatilia kwa karibu
View attachment 1880469
Itakuwa ni aibu nyingine Tena.
 
Ni hekima kubwa kwa serekali yetu kutumia njia ya kielectronic kama telecomference kusikiliza shauri hili kuliko kujaza watu wakati tukijua kuna janga la CORONA
 
Salaam Wakuu,

Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.

Chadema Wapo Viunga vya kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.

Tuendelee kufuatilia kwa karibu
View attachment 1880469
Gari la kumpeleka halina mafuta kesi hadi wiki ijayo[emoji3][emoji3]
 
I have the same thinking! Let us wait and see. Isije kuwa wameshamuua! Kila kitu kinawezekana maana Sammy kapania
Samia anajua kuwa dunia yote inamuangalia jinsi avyotumia absolute power kuuminya upinzani. Ninaona amekwenda kuchukua na notes kwa Paul.
 
Tz badala ya kuhangaika kukuza uchumi wetu vijana wapate ajira badala yake serikali ya CCM wamewekeza kwenye siasa za kipumbavu.Mambo ya maana hayafanyiki yanayofanyika ni ya kijinga na yanagalimu pesa nyingi
 
Wanachama hii jiandae kisakologia.

Leo Mbowe hatoletwa mahakamani hii ni mbinu ya kudelay kupunguza makali wa wanachama leo hapa magereza wanaweza kuja na mbinu ya gari Lao bovu au halina mafuta au Mbowe kaugua ghafla (hapa refer kesi ya sembaya jana).

Na kama akileta kesi haitotajwa maana Hakimu anaweza kuugua ghafla Mbowe atapangiwa tarehe ya mbali kuja tena
 
Tz badala ya kuhangaika kukuza uchumi wetu vijana wapate ajira badala yake serikali ya CCM wamewekeza kwenye siasa za kipumbavu.Mambo ya maana hayafanyiki yanayofanyika ni ya kijinga na yanagalimu pesa nyingi
Kama kuna mtu anataka kukutoa ndani ya nyumba uliyoishi tangu unazaliwa, utawaza kutafuta hela au kupambana nae?
 
Hii ndio mbinu iatakayo tumika kwa kisingizo cha corona lakini lazima watu watajiuliza case zote zinaendeshwa kwa njia hiyo?
 
Back
Top Bottom