figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
I have the same thinking! Let us wait and see. Isije kuwa wameshamuua! Kila kitu kinawezekana maana Sammy kapaniaSalaam Wakuu,
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.
Chadema Wapo Viunga vya kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.
Tuendelee kufuatilia kwa karibu
Itakuwa ni aibu nyingine Tena.Salaam Wakuu,
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.
Chadema Wapo Viunga vya kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.
Tuendelee kufuatilia kwa karibu
View attachment 1880469
We umepita tu, kwa nini usijumuike kwenye hiyo nyomi, badala yake unawahi kwenye keyboard mkuu?Nimepita pale nimeona kweli kuna nyomi kiasi.
Gari la kumpeleka halina mafuta kesi hadi wiki ijayo[emoji3][emoji3]Salaam Wakuu,
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano kuliko Freeman Mbowe kufikishwa Kisutu leo.
Chadema Wapo Viunga vya kisutu kusubiri japo wamuone Mwenyekiti wao. Wajiandae Kisaikolojia kutomuona. Ila kesi haijaahirishwa.
Tuendelee kufuatilia kwa karibu
View attachment 1880469
Samia anajua kuwa dunia yote inamuangalia jinsi avyotumia absolute power kuuminya upinzani. Ninaona amekwenda kuchukua na notes kwa Paul.I have the same thinking! Let us wait and see. Isije kuwa wameshamuua! Kila kitu kinawezekana maana Sammy kapania
Kama kuna mtu anataka kukutoa ndani ya nyumba uliyoishi tangu unazaliwa, utawaza kutafuta hela au kupambana nae?Tz badala ya kuhangaika kukuza uchumi wetu vijana wapate ajira badala yake serikali ya CCM wamewekeza kwenye siasa za kipumbavu.Mambo ya maana hayafanyiki yanayofanyika ni ya kijinga na yanagalimu pesa nyingi
Jana Zitto na Mbatia walimtembeleaI have the same thinking! Let us wait and see. Isije kuwa wameshamuua! Kila kitu kinawezekana maana Sammy kapania
Na leo Naibu waziri wa US anategemea kuonana naye.Jana Zitto na Mbatia walimtembelea
[emoji23][emoji23][emoji23],nahisi huu ndio mlango wao wa kutokeaWatakuwa wanatafuta namna ya kumuachia bila kujiaibisha.