Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Fedha ambazo walipa kod wametozwa zimefanyia nini ikiwa miradi midogo hivi inaendeshwa kwa fedha za mikopo?

Utakuwa ni mpumbavu endapo hujaelewa nini mleta mada amezungumza, sio mleta mada, tazama kelele za upinzani khs ununuzi wa ndege na hii miradi yote ambayo maguful alikuwa akiipigia kelele, achana na Lissu utamuita mwanasiasa, unamzungumzia vipi alokuwa CAG professor Asad? Hakuwa kuzungumza khs huu wizi wa awamu iliyopita?
 
Kuna mambo umesema uongo, mradi wa maji kutoka Mwanza hadi Shinyanga ni kazi ya Benjamin Mkapa,Waziri wa kipindi kile alikua Edward Lowassa!

Maji yakutoka mwanza, shinyanga, kahama,nzega hadi igunga,bado hayajafika Singida!

Pia usidhani watu hawana takwimu,hakuna zahanati iliyojengwa kila kata!

Maji bado ni shida,jaribu kutembea watu wanatumia maji ya mtoni,wengine wanasubiri mvua inyeshe,halafu wachote yale yanatwaama barabarani!
Msamehe bure tu.
 
Mngechunguza hizi trillion za miezi sita ambazo bado ni moto kabla ya hizo za viporo vya hayati.
 
Thread za Magu za kumchafua zipo nyingi sana mmetumana!!?
ww ile miradi unadhani wamejenga kwa buttock zako!

Mkiishiwa hoja mnasema anachafuliwa. Sema ni miradi gani imekula 29t, kirahisi hivyo.
 
Tunaendeshwa kipumbafu,kama mwenda alikopa vibaya wasaidizi wake wooote wajieleze!! Kuanzia makamu wake,waziri mkuu wake,waziri wake wafedha,spika alokuwepk nk. nk.

Hatuwezi kudanganywa kama wajinga kwamba tunajenga kwa pesazetu huku kwakificho serikali inakopa vibaya mmmno!!

Aloomba msamaha aombe ili asinyang'anywe ugali lakini sisi tunadai uwazi kuhusu nchi ikopavyo.
Hatuna mbunge wakupigia kelele hili wananchi tupige kelele wenyewe.
Jamaa alishika akili za watanganyika, eti tunajenga na kutumia fedha zetu wenyewe.
 
Magufuli anakaribia mwaka ssa ila bado watu wanateseka
Ngoja mwenye macho ya kurembua tuone je hali itakuaje?
Maaana hali ilivyo huku mtaaani wanatani hata angekuwepo leo ingekuwa afadhali tofauti na hali ilivyo ssa
Labda wewe mimi afadhali awamu hii kuliko ya Magu hali mbaya ya kiuchumi ipo karibu dunia nzima vitu vimepanda bei kweli

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Hili swali lingekuwa zuri kama Marehemu Magu angekuwa hai lkn kwa sasa ni nosense.huwezi kumhukumu mtu ambae hayuko hai.mnaowajadili wafu mnakosea unless mnawajadili kwa mazuri yao lkn si kwa mabaya.kila nafsi itaonja umauti.

Alikuwa hataki kuhojiwa, na hapa tunahoji deni alilotuachia kama taifa. Hatuhoji yeye kuwa hai au mfu.
 
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Mtoa mada kajaribu kutoa gharama za madaraja na baadhi ya miradi na kulinganisha na ukubwa bilioni na trillion, sasa wewe twambie idadi ya hayo madaraja yote uyajuayo tulinganishe na kiasi cha trillion 29 maana ni fedha nyingi lakini pia ukumbuke kujumlisha na fedha zetu za kodi, magawio, na zile za kupora wahujumu uchumi.
 
Hili swali lingekuwa zuri kama Marehemu Magu angekuwa hai lkn kwa sasa ni nosense.huwezi kumhukumu mtu ambae hayuko hai.mnaowajadili wafu mnakosea unless mnawajadili kwa mazuri yao lkn si kwa mabaya.kila nafsi itaonja umauti.
Anayekosewa ni mwenye utashi na uhai mfu hakosewi

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Tunaendeshwa kipumbafu,kama mwenda alikopa vibaya wasaidizi wake wooote wajieleze!! Kuanzia makamu wake,waziri mkuu wake,waziri wake wafedha,spika alokuwepk nk. nk.

Hatuwezi kudanganywa kama wajinga kwamba tunajenga kwa pesazetu huku kwakificho serikali inakopa vibaya mmmno!!

Aloomba msamaha aombe ili asinyang'anywe ugali lakini sisi tunadai uwazi kuhusu nchi ikopavyo.
Hatuna mbunge wakupigia kelele hili wananchi tupige kelele wenyewe.
Watasikia kweli?
 
Hili swali lingekuwa zuri kama Marehemu Magu angekuwa hai lkn kwa sasa ni nosense.huwezi kumhukumu mtu ambae hayuko hai.mnaowajadili wafu mnakosea unless mnawajadili kwa mazuri yao lkn si kwa mabaya.kila nafsi itaonja umauti.
Yaani wewe ndo tahira, bora hata ungekaa kimya.
 
We jamaa upo serious kweli? Hela za kununua madiwan,wabunge na viongozi wa upinzani ultoa wewe? Hukumbuki mwanzoni CHAKUBANGA( pole pole) alivyokuwa kakondeana na kupauka? Hela za ziara za Makonda Ufaransa na Marekani uligaramia wewe? Operation za genge la Makonda na wasiojulikana uligaramia wewe?
Utawala wa jiwe ulikuwa na LAANA.
 
Aliyoyafanya kamwe hayawezi kumaliza Trilion 29 afu hata hivyo miradi kibao tu kaacha haijamalizika sasa pesa alipeleka wapi?

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
Sasa unataka kusema alipeleka wapi, we uoni? We mambo makubwa haya yote yalipofikia unafikiri yamewezekanaje? Sasa kama ni hivyo uhamini tusubiri kama CAG atakuwa na doubt!
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Bahati Mbaya hizo za kikwete nazo umeonyesha bilion 9 tu kazi ya hizo zote.

Nakupa kazi za Magufuli.
1. Umeme vijiji elfu 9.
2. Ndege mpya 11.
3, Ukarabati shule zote kongwe, unazishaji wa shule mpya.. gharama yake ni zaidi ya hayo madarasa ya samia.
4. Ujenzi wa makazi ya polisi.
5. Flyover - Mfugale na Ubungo-Kijazi.
6. Barabara - Anza na Morogoro road kwa Dar njia nane.. Barabara ya Mbeya hadi Kigoma na Bukoba. Nenda Pale Arusha kwa mara ya kwanza wamejengewa barabara nzuri sana. Itigi -Tabora. Mbeya - Chunya, Songea - Mbambay.

7. Miradi ya maji ndo usiseme.. Nakutajia Miradi Mikubwa tu; Arusha,Mwanga na Same; Mwanza, Mwanza Tabora, Dodoma, Dar, Kisarawe. n.k.
8. Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. KIA, Dar, Songwe, Songea, Chato,Mtwara, Katavi, Iringa, Njombe, Msoma,Mwanza n.k.
9. Kuhamia Dodoma. Makao makuu.
10. Ujenzi wa hostel zax vyuo mbalimbali kama UDSM na TIA (Mtwara Singida na Mwanza).

11. Ujenzi wa Bwawa la Umeme.

12. Ujenzi wa SGR.

13. Ujenzi wa Mwendo kasi ya Mbagala.

14. Ujenzi wa Masoko kila mkoa.

15. Upanuzi wa vituo vya kufulia umeme - Kinyerezi.

16. Ujenzi wa Stend za mabasi kila mkoa.

17. Ujenzi wa Hospital za Kila Kanda.. Kanda ya Kati Dodoma, Kusini - Mtwara. Kanda ya Ziwa Chato. Magaribi - Mbeya.
18. Ujenzi wa Hosipital ya Kila mkoa - Njombe; Msoma n.k.

19 . Ujenzi wa hospital za wilaya.

20. Ujenzi wa vituo vya afya - Kata

21. Ununuzi wa Meli kila ziwa - Victori, Nyasa na Tanganyika.

22. Ujenzi wa Madaraja makubwa -- Busisi na Coco.

24. n.k.


Naishia hapo..hizi kazi zote ndani ya miaka mitano ..Mwanamme alikuwa halali kwa ajiri yako na wajukuu zako.
 
Sasa unataka kusema alipeleka wapi, we uoni? We mambo makubwa haya yote yalipofikia unafikiri yamewezekanaje? Sasa kama ni hivyo uhamini tusubiri kama CAG atakuwa na doubt!
"Eti kama huamini tusubiri cag"
Kwani wewe uko nchi gani! Haukusikia hindi cag alivyo lalamika ktk ripoti yake kuzuiwa kukagua baadhi ya miradi, na zaidi hata mafungu mengine yakahamishiwa kwa nguvu ktk mafungu ya Rais na usalama wa nchi ilimradi tu yasikaguliwe. Amino jamaa yule alikuwa mpigaji.
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.B

Angali unapita wapi, unapitia, umetipia wapi, maisha yako yote. nani alikuwezesha, elimu yako, mtoto wako anasoma wapi, hospitali, miundombinu kuliwezesha Taifa wako .

Kitu, Vitu, Sera gani zitaisawaidia Maskini? Elimu, Miundombinu, kilimo mazingira, kuthibiti inflation.
 
Back
Top Bottom