Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shida michuano ipo mwaka mzima.....makocha huajiriwa na kufukuzwa sio ajabu....kama unampenda muajiri hata awe shamba boy wako hakuna shidaWazungu huamini sana katika uwezo wa wachezaji, lakini huku africa hasa Pale ambapo inasemekana wenye akili ni wachache sana wanaamini katika Uchawi.
Inasikitisha sana unafukuza kocha huku mbeleni una mechi za CAF
Tupe ukweli mzee wa kilingeniYanga baada ya kufungwa na Tabora kuna kila aina ya simulizi