Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Nimenunua Battery mara mbili ndani ya miezi mitatu, zote zimekufa bila taarifa wala kudumu.
Nimechunguza huwa si mchoyo wa kuboost Gari kama nikikutana na mdau aliye na low voltage, jirani yangu mmoja amekua na tabia hiyo almost kila baada ya siku mbili lazima aniombe nimboost.
Jana nawasha Gari mzigo haupigi. Je, hilo la kuboost linaweza kuwa Tatizo kwa Batter zangu zilizokufa au ipo sababu nyingine ya kiufundi.
Nimechunguza huwa si mchoyo wa kuboost Gari kama nikikutana na mdau aliye na low voltage, jirani yangu mmoja amekua na tabia hiyo almost kila baada ya siku mbili lazima aniombe nimboost.
Jana nawasha Gari mzigo haupigi. Je, hilo la kuboost linaweza kuwa Tatizo kwa Batter zangu zilizokufa au ipo sababu nyingine ya kiufundi.