Mzuka Wanajamvi!
Kutokana na hali ya vita huko Ukraine hali inazidi kuwa tete. Na leo kwenye hotuba yake Putin ameendelea kusisitiza hatanii kutumia mabomu ya nyuklia.
Na uwezekano wa kizitumia ni mkubwa kwasababu anapokea mkong'oto wa haja kutoka majeshi ya Yukrein.
Hii itasababisha vita ya tatu ya dunia kwasababu Yukrein naye anatuma maombi NATO.
Kuna uwezekano kombe la dunia Qatar kuhairishwa. Na siyo kombe la dunia ratiba ya vitu vingi vitabadilika dunianina kuvurugika. Mfano Biashara na soko la hisa usafiri na kadhalika.
Inachotupasa tuombeni amani. Huu mzozo au vita ya Ukraine utaisha tu katika meza ya mazungumzo. Kwasababu tunapoelekea Yani hata EPL nayo itasimama.
Kutokana na hali ya vita huko Ukraine hali inazidi kuwa tete. Na leo kwenye hotuba yake Putin ameendelea kusisitiza hatanii kutumia mabomu ya nyuklia.
Na uwezekano wa kizitumia ni mkubwa kwasababu anapokea mkong'oto wa haja kutoka majeshi ya Yukrein.
Hii itasababisha vita ya tatu ya dunia kwasababu Yukrein naye anatuma maombi NATO.
Kuna uwezekano kombe la dunia Qatar kuhairishwa. Na siyo kombe la dunia ratiba ya vitu vingi vitabadilika dunianina kuvurugika. Mfano Biashara na soko la hisa usafiri na kadhalika.
Inachotupasa tuombeni amani. Huu mzozo au vita ya Ukraine utaisha tu katika meza ya mazungumzo. Kwasababu tunapoelekea Yani hata EPL nayo itasimama.