selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 463
- 634
Hii vita itapelekea vita ya tatu ya dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote hayo yalikua makosa.tutakua binadamu wajinga kuhalalisha makosa ya sasa kwa makosa ya zamani.Huu ujinga ukiachwa uendelee itafika siku dunia itaangamia kwasababu za kijinga za binadamu kufumbia macho ujinga unapofanyika.Iraq haikua nchi huru? Vipi kuhusu Libya? Vipi kuhusu Afghanistan? Vipi kuhusu Syria na Yemen?
Si ni haohao wanaounda G7 ndio walihusika kuvuruga hizo nchi? Leo Ukraine kuna kipi cha ajabu ambacho hawakukifanya Libya na Syria?
Uku afrika sisi ni ushabiki maandazi uliojengeka kwenye ujinga.kuna ushabiki uliojengeka kwenye chuki za kidini,wivu na matakataka mengine bila kujua waanga wakubwa tutakua sisi uku.Ukweli sisi raia wa hii sayari tungejifikirisha vizuri ilitakiwa wote tuandamane kulaani kuendelea kwa vita huko ukrein.
Raia wa Marekani hadi Urusi kwenyewe bado wanaona kama nchi zao zina haki ya kufanya wanacho fanya.
Huko nchi za NATO vivyo hivyo, wanaona hayawahusu wanawaachia watawala kufanya wafanyayo.
Huku Afrika raia tunaishia ushabiki mara timu Russia mara timu Marekani.
Lakini hebu tujiulize ukubwa wa gharama iwapo patatokea vita vya nuklia. Nani atasalimika?
Si afadhali tuwapigie kelele watawala waache vita hivyo?
Kuakhirishwa[emoji736]Kuhairishwa[emoji777] kuahirishwa[emoji736]
By the way ahsante kwa maoni yako!!
Katumia ulimi wa kikoraniVipi mjomba mbona mwenzako yupo Chalinze wewe unamtafutia Kunduchi.
Kuakhirishwa ndio fasaha?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Mexico ni nchi inayojitegemea, na iko huru kwenye maamuzi, haitakiwi kuingiliwa na nchi yoyote kimaamuzi; kwa hiyo kama Mexico watakubali, hakuna shida. Mfano, we unaweza kumpangia Uganda cha kufanya?Huu mfano haupo sahihi.
Nikuulize wewe, USA wanaweza kukubali Russia waweke makombora yao Mexico ?
Kwanini Russia ilipoweka makombora yake Cuba then USA ilitaka kuingia vitamin kwasababu haitaki hayo makombora mlangoni kwake?Mexico ni nchi inayojitegemea, na iko huru kwenye maamuzi, haitakiwi kuingiliwa na nchi yoyote kimaamuzi; kwa hiyo kama Mexico watakubali, hakuna shida. Mfano, we unaweza kumpangia Uganda cha kufanya?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Daaah ila wabongo!Sasa na wewe umerekebisha nini hapo?
Kuahirshwa ndio nini?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Mkuu Putin hazimtoshi na haaminiki hivyo usimpimie kabisa.Kombe la Dunia halina uhusiano na vita ya Russia na Ukraine na hakuna vita ya tatu ya dunia any time soon.
Kwa ujumla kuna nchi zinazotumika kwa maslai ya nchi zenye uchumi mkubwa, kwa kifupi wanakuwa wametawaliwa.Kwanini Russia ilipoweka makombora yake Cuba then USA ilitaka kuingia vitamin kwasababu haitaki hayo makombora mlangoni kwake?
Cuba sio nchi huru?
Sijaelewa point,yako Cuba ilikua nchi huru au sio huru?Kwa ujumla kuna nchi zinazotumika kwa maslai ya nchi zenye uchumi mkubwa, kwa kifupi wanakuwa wametawaliwa.
Vita ilitokea?Sijaelewa point,yako Cuba ilikua nchi huru au sio huru?
Marekani ilikua sahihi au haikua sahihi?
USSR wasingetoa makombora pale unadhani ingekuaje?Vita ilitokea?