Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
We still have a week or two go

Stages za maambukizi (Epidemiological perspective)

Stage 0- 0 cases
Stage 1 -imported cases
Stage 2- local cases (cases appearing in some cities but not imported. You can still trace the source)
Stage 3 - Community spread (mnaambukizana wenyewe kwa wenyewe na huwezi ku-trace network yake.)

Jr[emoji769]
 
We still have a week or two go

Stages za maambukizi (Epidemiological perspective)

Stage 0- 0 cases
Stage 1 -imported cases
Stage 2- local cases (cases appearing in some cities but not imported. You can still trace the source)
Stage 3 - Community spread (mnaambukizana wenyewe kwa wenyewe na huwezi ku-trace network yake.)

Jr[emoji769]
Mshana hivi hakuna dawa ya kienyeji kuwaua/kupunguza hao mavirus watu wakaendelea na shughuli zao?


wazungu wametufanya tuachane na miziz yetu ambayo ilikua konki haswaaaa,ss wanatucontrol tu watu wakae ndan dunia nzima eti kisa wao wamekosa dawa.
Kuna sehemu tumeteleza ktk mapokeo ya dawa zeti kuaminishwa si kitu!

Hebu wajuz wajitokeze tuwaonyeshe africa sisi hatukosi dawa kwa gonjwa lolote tukianza na hii Covif-19
 
Total lockdown ni impossible kwa mazingira yetu na viongozi wanafahamu hilo..
Solution ni kufunga biashara zote ambazo sio vital kwa survival kama maduka ya hardware ,maduka ya vyombo ,maduka ya simu n.k then waache maduka ya vyakula na maduka ya madawa tu..
Wakifanya hivyo watapunguza idadi ya watu wanaotembea tembea hovyo.
Total lockdown kwa sisi naifananisha na situation ambayo mtu ameamua kutokula chakula kwa sababu ameshauriwa kitaalamu kuwa kina madhara mwilini, kwa hiyo ameamua kutokula ili mwili wake usidhurike na chakula hicho, kwa matarajio ya kuishi maisha marefu,..., it's a paradox
 
Kitunguu saumu limau asali na maji ya moto ni tiba tosha wala hatuhitaji kuingia maporini kutafuta mizizi
Mshana hivi hakuna dawa ya kienyeji kuwaua/kupunguza hao mavirus watu wakaendelea na shughuli zao?


wazungu wametufanya tuachane na miziz yetu ambayo ilikua konki haswaaaa,ss wanatucontrol tu watu wakae ndan dunia nzima eti kisa wao wamekosa dawa.
Kuna sehemu tumeteleza ktk mapokeo ya dawa zeti kuaminishwa si kitu!

Hebu wajuz wajitokeze tuwaonyeshe africa sisi hatukosi dawa kwa gonjwa lolote tukianza na hii Covif-19

Jr[emoji769]
 
Mshana hivi hakuna dawa ya kienyeji kuwaua/kupunguza hao mavirus watu wakaendelea na shughuli zao?


wazungu wametufanya tuachane na miziz yetu ambayo ilikua konki haswaaaa,ss wanatucontrol tu watu wakae ndan dunia nzima eti kisa wao wamekosa dawa.
Kuna sehemu tumeteleza ktk mapokeo ya dawa zeti kuaminishwa si kitu!

Hebu wajuz wajitokeze tuwaonyeshe africa sisi hatukosi dawa kwa gonjwa lolote tukianza na hii Covif-19
Jaribu mizizi ya muarobaini
Katika hizo dawa arobaini inayotibu corona imo
Si unaona wanavyoulizana kuhusu cloroquine inatibu
Basi cloroquine ya kienyeji ni muarobaini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika mungu yu pamoja nasi, lockdown itakua kwa wasioamini. Imani bila matendo imekufa, huenda hili ni jaribu tu,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom