Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Tunafanya mzaha na hii kitu.....
Watu wanashindwa kuelewa kwa nini WHO UN wanasema worst to come kwa Africa
Ni hivi walio hatarini na huyu virus ni Wagonjwa wa HIV/AIDS TB CANCER na magonjwa mengine yenye kupunguza kinga za mwili
Africa imeathirika sana na Ukimwi TB sasa Cancer imekuwa tishio hapa ndio shida itakapoanzia. ARV haitaweza kuwalinda tena endapo utakumbwa na virusi
Rejea kwa taarifa za wale tuliokwishawapoteza na kirusi hiki walikuwa na underlying medical condition iliyowapelekea kupoteza maisha fasta.

Tuwe wasikivu hata kwa sekunde!
 
Halafu msikilize mkuu wa mkoa mmoja anavyoropoka
Tunafanya mzaha na hii kitu.....
Watu wanashindwa kuelewa kwa nini WHO UN wanasema worst to come kwa Africa
Ni hivi walio hatarini na huyu virus ni Wagonjwa wa HIV/AIDS TB CANCER na magonjwa mengine yenye kupunguza kinga za mwili
Africa imeathirika sana na Ukimwi TB sasa Cancer imekuwa tishio hapa ndio shida itakapoanzia. ARV haitaweza kuwalinda tena endapo utakumbwa na virusi
Rejea kwa taarifa za wale tuliokwishawapoteza na kirusi hiki walikuwa na underlying medical condition iliyowapelekea kupoteza maisha fasta.

Tuwe wasikivu hata kwa sekunde!
View attachment 1409356
IMG-20200405-WA0081.jpeg


Jr[emoji769]
 
Utaitwa kila majina mabaya Pakawa but don't worry... Wakati ni hakimu mzuri
Shida ni uelewa
Tutazikana sana
Idadi ya wagonjwa wa Covid-19 ni zaidi ya 100000+ ndani ya Tz.
Let's wait na see
Wenye kuropoka ni miongoni mwa hiyo number

Jr[emoji769]
 
Shida ni uelewa
Tutazikana sana
Idadi ya wagonjwa wa Covid-19 ni zaidi ya 100000+ ndani ya Tz.
Let's wait na see
Wenye kuropoka ni miongoni mwa hiyo number
Mkuu ingependeza ukaweka uthibitisho wa idadi ya wagonjwa uliowataja ili wenye mioyo migumu nao waelewe na wajihami kwa nguvu zote.
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]
Viongozi waliyowakabidhi wananchi wao kwa Mungu kamwe corona haitawasumbua sana. Lakini viongozi wanajifanya kusimamia corona kwa uwezo wao WATAPATA TABU SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe piga kazi, ugonjwa upo tangu disemba mwaka Jana watu wanapona wenyewe.
naweza kukubaliana na wewe,mi january niliugua karibu nife,lakini hata Mama yangu kijijini naye alikuwa hoi kipindi kama hicho,yani hapa nilipo katika jamaa zangu kumi,unakuta 7 wana mafua na vikohozi.
 
Siasa mbaya sana yani kuna watu wanachukizwa na hali ilivyo sasa ya corona kwa kuona kama hali itaishia hivi hivi wanaona ni kama ni ushindi kwa mtu fulani au kundi fulani.
 
Kwahyo kuna siku nitashinda njaa na wanangu, halafu nitakuwa nakaangalia haka katoto kangu kakilia maana baba na mama tumezuiwa kutoka na siye tutakachokula kesho tunakitafuta leo? Matokeo ya Uchaguzi na mengine ya kijamii yanavumilika ila siyo NJAA... Labda iwe PARTIAL kama Kenya.
 
"I was initially angry about the move to test vaccines on Africans,but I changed my mind. An African proverb says that a twine that grows out of the wood and start growing on the footpaths should expect to be matched upon. Only Sani Abacha's loots can sponsor 40 researches in Africa. The whites are using the money to produce the vaccine and you expect them to test it out on their people, you must be kidding. Direct your anger at something else. Can't you see Congolese president have accepted that the vaccine be tested in his country? He does not have a choice. If you cannot sing, you must dance but if you cannot dance, you must at least clap your hands or nod your head. If you cannot produce vaccine, and you refuse to sponsor your people to produce one, then you must submit yourself to have the vaccine tested in your country.
America have established grants to help their scientists carry out research on the virus and come up with a cure.Have you ever seen an African billionaire sponsor any research or scientific innovation in Africa? Never! But during election campaigns, they donate fortunes to political parties. Which is more important, political parties or research and technology development? Be sincere in your answers. Will you test your vaccine on someone who is sponsoring your research? No way," he said.

Source:
Reasons Why Africans Should Agree To Vaccine Testing - Bill Gates
Kwahyo kuna siku nitashinda njaa na wanangu, halafu nitakuwa nakaangalia haka katoto kangu kakilia maana baba na mama tumezuiwa kutoka na siye tutakachokula kesho tunakitafuta leo? Matokeo ya Uchaguzi na mengine ya kijamii yanavumilika ila siyo NJAA... Labda iwe PARTIAL kama Kenya.

Jr[emoji769]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom