lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
Hakika Mungu anatupendaThe way serikali ya Tz imehandle Corona hakika ina stahili pongezi sana, tunapaswa kua kwenye kitabu cha kumbukumbu cha dunia,
Watanzania mnapaswa kujivunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mungu anatupendaThe way serikali ya Tz imehandle Corona hakika ina stahili pongezi sana, tunapaswa kua kwenye kitabu cha kumbukumbu cha dunia,
Watanzania mnapaswa kujivunia.
Nimesoma tena na tena sijaona kosa la hii mada zaidi imetoa tahadhari na heading iko very clear ....KUNA UWEZEKANO.....Ila ni vizuri kuna wakati watu wakipata nafasi ya kutoa nyongo unawaacha wafanye hivyo Ili wapunguze futuko ndani yao[emoji1787]Kazi unayo mzee mwenzangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Braza watu wanataka kukuua kwa comments haha ha hii ilikua wewe au wao inabd uwape ushindiNyongo zinatoka kwa kasi ya 4G[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeumbuka na ramli zako chonganishi!!Nyongo zinatoka kwa kasi ya 4G[emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana mizimu yako ilikupotoshaKwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
Muone huyu mpiga ramli alivyokuwa anatisha watanzania! Eti leo anasema alikuwa anawapa tahadhari!! Eti anasema "We still have a week or two to go". Anastahili kufungwa jiwe na kutupwa katikati ya bahari kama isemavyo Bibilia.We still have a week or two go
Stages za maambukizi (Epidemiological perspective)
Stage 0- 0 cases
Stage 1 -imported cases
Stage 2- local cases (cases appearing in some cities but not imported. You can still trace the source)
Stage 3 - Community spread (mnaambukizana wenyewe kwa wenyewe na huwezi ku-trace network yake.)
Jr[emoji769]
Komaa na familia yako wasife na Corona.Ngoja nikomae nao...wamenipata kwenye kona ...hii inaitwa sucker punch...!!!
Halafu ikawaje? Nyie ndo mlikuwa mnaimba singeli za UKAIDI WA MAGUFULI NA WAKENYA?Hakuna mizimu hapa ilikuwa ni hali halisi
Bado tunamhitajiMuone huyu mpiga ramli alivyokuwa anatisha watanzania! Eti leo anasema alikuwa anawapa tahadhari!! Eti anasema "We still have a week or two to go". Anastahili kufungwa jiwe na kutupwa katikati ya bahari kama isemavyo Bibilia.
huyu jamaa nmegundua ni mpiga ramli tu hana credibility yoyote.Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla
Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai...
Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?
Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?
Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa
Jr[emoji769]
Ha ha ha usinirogeUsinifokee...
wasalamu... wale tulioacha chuo kwa hiari baada ya kugundua tunatakiwa kuunda system zetu za kutoka kimaisha na sio kufata mfumo usio na masirahi kwa speed hii ya maisha tujuane hapa .huyu jamaa nmegundua ni mpiga ramli tu hana credibility yoyote.