Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Kazi unayo mzee mwenzangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Nimesoma tena na tena sijaona kosa la hii mada zaidi imetoa tahadhari na heading iko very clear ....KUNA UWEZEKANO.....Ila ni vizuri kuna wakati watu wakipata nafasi ya kutoa nyongo unawaacha wafanye hivyo Ili wapunguze futuko ndani yao[emoji1787]
 
Mshana mizimu yako ilikupotosha
 
Muone huyu mpiga ramli alivyokuwa anatisha watanzania! Eti leo anasema alikuwa anawapa tahadhari!! Eti anasema "We still have a week or two to go". Anastahili kufungwa jiwe na kutupwa katikati ya bahari kama isemavyo Bibilia.
 
Muone huyu mpiga ramli alivyokuwa anatisha watanzania! Eti leo anasema alikuwa anawapa tahadhari!! Eti anasema "We still have a week or two to go". Anastahili kufungwa jiwe na kutupwa katikati ya bahari kama isemavyo Bibilia.
Bado tunamhitaji
 
Reactions: UCD
huyu jamaa nmegundua ni mpiga ramli tu hana credibility yoyote.
 
huyu jamaa nmegundua ni mpiga ramli tu hana credibility yoyote.
wasalamu... wale tulioacha chuo kwa hiari baada ya kugundua tunatakiwa kuunda system zetu za kutoka kimaisha na sio kufata mfumo usio na masirahi kwa speed hii ya maisha tujuane hapa .
binafs nmedropout Udom mwakajana mwez wa 12 ....[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Wewe ni mwanangu si vizuri nikabishana na wewe..bado una safari ndefu kimaisha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…