Haya lakini mpaka wote kwenye genge lenu wake kwa waume hakuna hata mmoja aliyeweza kutoa ithibati kuwa corona haipo TanzaniaMungu wangu mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kuchemsha uchemshe mwenyewe huko na ramli zako halafu uje kunisingizia Mimi!
Uzi unefufuka tena bro mshana na raia bado tu wanakupa za uso[emoji23][emoji23]Haya lakini mpaka wote kwenye genge lenu wake kwa waume hakuna hata mmoja aliyeweza kutoa ithibati kuwa corona haipo Tanzania
Walipata mahali pa kutolea stress ..wamezitoa weee sasa hivi wamepata nafuu kubwa....wamepumzikaMi naona hapa ni swala tu lakumshukuru Mungu hapa anazidi kutupigania.Sielewi wanaomzodoa mtoa tahadhari mlitaka tufe ndo mfurahie huo utabiri.
Hivi ingetokea lockdown mngefurahi kwamba utabiri umefanya kazi?Kwa sababu hakuna lililotokea basi tuzidi kuombeana heri lisitokee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki yao kunifanya punching bag kwa tahadhari niliyowapa..wamepunguza misongo yao ya mawazo na ukizingatia leo ilikuwa weekend na wengi wao kama si wote mifukoni kutupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi unefufuka tena bro mshana na raia bado tu wanakupa za uso[emoji23][emoji23]
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Wamepotea na kupoteana ...walialikana kama wote ...wakiongozwa na madanga chovu ya Jf...wakatoa povu wee lilipoisha wakasepa wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mburula yeyote akikupa jibu la maana hapo usiache kutustua.
Wengine kwa sasa tuko busy kumalizana na mkoloni mweusi kwanza.
Pamoja sana.
Wewe na genge lako takwimu mlizoweka ziko wapi?Haya lakini mpaka wote kwenye genge lenu wake kwa waume hakuna hata mmoja aliyeweza kutoa ithibati kuwa corona haipo Tanzania
Jibu ni kwamba HAKUNA, Kama unampigia debe alafu unashindwa taja mema mawili that means una hubiri kitu ambacho hata hujui ni kitu ganiWewe Ni kipofu?
Mkuu mbona huu uzi una-trend sana hapa jukwaani toka jana?Corona imerudi Tanzania amma!Wewe na genge lako takwimu mlizoweka ziko wapi?
Sawa kaka uliyeamua kujifanya kipofuJibu ni kwamba HAKUNA, Kama unampigia debe alafu unashindwa taja mema mawili that means una hubiri kitu ambacho hata hujui ni kitu gani
Kuna watu wanatamani irudi[emoji1787]Mkuu mbona huu uzi una-trend sana hapa jukwaani toka jana?Corona imerudi Tanzania amma!
Ndio hayo mema utayaonyesha??Sawa kaka uliyeamua kujifanya kipofu
Subiri October 28 upofu utakutoka
Wewe si unajua takwimu zilipo mzeiya, lete hapa ili tuthibitishe na wewe utakuwa sahihi zaidi ya wengine ambao tunaamini hakuna Corona kwa sasa. Data ziko external kama unavyosema, maana tayari una access ya huko ziliko, please zilete hapa tuone, mbona ni rahisi tu.
All in all, kuongea bila facts ni kusaidia kuleta panic na kupotosha umma, taarifa na tahadhari uliyotoa ilitakiwa kutolewa na mamlaka as wao ndio walikuwa na takwimu sahihi. Hivi unajua kuwaambia watu wanunue vyakula na maji ya kutosha, huenda wachukue fedha za kutosha na kuziweka nyumbani tayari ungeleta taharuki katika jamii? Unajua ungesababisha panic na uhaba wa bidhaa muhimu pamoja na vyakula? Kwa nini wewe ambaye huna mamlaka ulitoa tahadhari ambayo huenda ilitakiwa kutolewa na either waziri mkuu au waziri wa afya?
Unajua watu wanakuandama kwa sababu uliandika kitu usichokijua na bahati mbaya hujui kama hukujua, to-date bado hujui kama ulichoandika hukukijua. Mstaarabu akivuliwa huchutama.
Ni hili eeh?Wewe Kaka nakuona.. Kiongozi wa mabeba maboksi.. eeeh si ungetuonyesha gari tuwone.. mzigo.. unajua umemisiwa sana na wengi humu na yako.. bishoo wewe.. πππππ
Bado nasubiri uniletee begi langu.. karibu sana huku shambani ukuje ule organic food..
Wamepotea na kupoteana ...walialikana kama wote ...wakiongozwa na madanga chovu ya Jf...wakatoa povu wee lilipoisha wakasepa wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]