mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Mi naona hapa ni swala tu lakumshukuru Mungu hapa anazidi kutupigania.Sielewi wanaomzodoa mtoa tahadhari mlitaka tufe ndo mfurahie huo utabiri.
Hivi ingetokea lockdown mngefurahi kwamba utabiri umefanya kazi?Kwa sababu hakuna lililotokea basi tuzidi kuombeana heri lisitokee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ingetokea lockdown mngefurahi kwamba utabiri umefanya kazi?Kwa sababu hakuna lililotokea basi tuzidi kuombeana heri lisitokee.
Sent using Jamii Forums mobile app