Kuna uwezekano wa dini zinazoweza kuja kuzipiku dini za Ukristo na Uislamu?

Kuna uwezekano wa dini zinazoweza kuja kuzipiku dini za Ukristo na Uislamu?

Kabla, watu walikuwa fetishism na animism, walitoka huko wakaingia polytheism then wakaingia monothiesm na siku hiz wanaingia atheism. Habari mbaya ni kwqmba haiwezekan dini kufa sababu steji zote hizo kuna watu wanabakiaga hapo (survivals)

So kwa sasa threat ya dini ni maendeleo ya sayansi na teknolojia. Na hii ndo inazakisha atheists kwa kasi sana
fetishism kidooogo ina uelekeo flani, labda agnostics au deists wataishikilia, lakini animism, ni upuuzi mtupu, pamoja na theism.
 
Katika historia inaonyesha kabla ya Ukristo na Uislamu baadaye kulikwa na dini kubwa za maeneo mbalimbali lakini hazikuwa dini za kidunia kama Ukristo na Uislamu ambavyo zimekuwa dini za kidunia.

Je kuna uwezekano zikaja dini nyingine zikapiku Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia ikarudia kama enzi hizo za dini nyingi mbalimbali za kimaeneo/ kijamii/ kikanda?
Hakutakua na Dini nyengine toka kwa Mungu sababu Tayari Mungu mwenyewe ameshatoa promise hio.

Ila kwa Uisilamu point of view hakuna Mtu duniani ambaye hana dini, na dini ni muongozo wa maisha toka unaamka hadi unalala.
 
D

Ukristo siyo dini. Ni imani.

Waliitwa kwanza Wakristo na Waarabu wa Syria.


Uislam siyo dini bali ni mila na desturi (culture) za waarabu. Ndiyo maana wanaita total way of living. Ukijiunga na dini hiyo lazima ubadili jina liwe la kiarabu, ujifunze lugha ya kiarabu, uvalie mavazi ya kiarabu, ule vyakula vya kiarabu, usanifu wa majengo lazima uwe wa kiarabu, nyimbo lazima ziwe kaswida, kucheza mziki lazima iwe ya kiarabu arabu nk.
Na ndiyo maana uislam nje ya ulimwengu wa kiarabu ni mzigo, kwa sababu mazingira haya-support dini hiyo. Ni imani ambayo inataka total reform ya maisha ya jamii fulani iendane na tamaduni za kiarabu. Matokeo yake kunakuwa na social friction kubwa kwenye maeneo ambayo dini hii inasambazwa.

CC: Yoda
 
Kuanzia mwaka 2070, waafrika wengi watakua wameachana na hizi dini kwani watagundua ni za uongo.
2100 waafrika wataungana na kuwa taifa moja na kuanzia competition na watu weupe kwenye nyanja zote.
2250 wazungu watashindwa vita hiyo na kukimbilia sayari ya Mars.
 
Neno "dini" linatumika katika maana kadhaa. Ya kwanza ni uhuru, nguvu, utawala, ufalme, au utawala. Ya pili ni kinyume cha hii, yaani kuwasilisha, utii, huduma au unyenyekevu. Ya tatu ni kuhukumiwa, kuhukumu, au kutoa malipo na adhabu kwa matendo. Matumizi haya matatu yanapatikana katika Qur'an.

HQur'an 3:19
Hakika dini ambayo Mwenyezi Mungu Aliwachagulia waja Wake na Akawatumiliza kwayo Mitume Wake na ambayo Hakubali isipokuwa hiyo ni Uislamu. Nao ni kumnyenyekea Mwenyezi Mungu, Peke Yake, kwa kumtii na kujisalimisha Kwake kwa udhalilifu na kuwafuata Mitume katika yale waliotumilizwa kwayo katika kila kipindi mpaka wakahitimishwa kwa kuja Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ambaye, Hakubali Mwenyezi Mungu dini kutoka kwa yoyote, baada ya kutumilizwa kwake, isipokuwa Uislamu ambao alitumilizwa nao. Na tafauti baina ya Watu wa Kitabu, miongoni mwa Mayahudi na Wanaswara, iliyowafanya watengane wawe mapote na makundi, haikutokea ela baada ya kuthibiti hoja juu yao kwa kupelekwa Mitume na kuteremshwa Vitabu; hiyo ilitokana na uadui na uhasidi kwa kutafuta ulimwengu.Na yoyote mwenye kuzikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizoteremshwa na alama Zake zenye kujulisha uola Wake na uungu Wake, basi Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa hesabu, na Atawalipa kwa yale waliokuwa wakiyafanya.
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis

Unfortunately hii authority uliyo cite hapa wengine hatuitumii wala kuiamini. Kwamba jenga hoja zenye misingi ya logic. Maana wengi wanaoamini mamlaka ya kitabu hiki na kukikariri bila kuhoji kwa sababu ya kumhofu allah
 
Kwani wachina ni dini gani? Kama wachina wote ni dini moja basi uwezekano upo tena sana.
Hawana dini wachina wanajiendea endea tu kitamaduni.

Official China ni atheist country chini ya chama cha kikomunisti.
 
Katika historia inaonyesha kabla ya Ukristo na Uislamu baadaye kulikwa na dini kubwa za maeneo mbalimbali lakini hazikuwa dini za kidunia kama Ukristo na Uislamu ambavyo zimekuwa dini za kidunia.

Je kuna uwezekano zikaja dini nyingine zikapiku Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia ikarudia kama enzi hizo za dini nyingi mbalimbali za kimaeneo/ kijamii/ kikanda?
Kuna hii dini ya watu kuabudu "makalio " hii nayo ni janga kubwa sana
 
Neno "dini" linatumika katika maana kadhaa. Ya kwanza ni uhuru, nguvu, utawala, ufalme, au utawala. Ya pili ni kinyume cha hii, yaani kuwasilisha, utii, huduma au unyenyekevu. Ya tatu ni kuhukumiwa, kuhukumu, au kutoa malipo na adhabu kwa matendo. Matumizi haya matatu yanapatikana katika Qur'an.

HQur'an 3:19
Hakika dini ambayo Mwenyezi Mungu Aliwachagulia waja Wake na Akawatumiliza kwayo Mitume Wake na ambayo Hakubali isipokuwa hiyo ni Uislamu. Nao ni kumnyenyekea Mwenyezi Mungu, Peke Yake, kwa kumtii na kujisalimisha Kwake kwa udhalilifu na kuwafuata Mitume katika yale waliotumilizwa kwayo katika kila kipindi mpaka wakahitimishwa kwa kuja Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ambaye, Hakubali Mwenyezi Mungu dini kutoka kwa yoyote, baada ya kutumilizwa kwake, isipokuwa Uislamu ambao alitumilizwa nao. Na tafauti baina ya Watu wa Kitabu, miongoni mwa Mayahudi na Wanaswara, iliyowafanya watengane wawe mapote na makundi, haikutokea ela baada ya kuthibiti hoja juu yao kwa kupelekwa Mitume na kuteremshwa Vitabu; hiyo ilitokana na uadui na uhasidi kwa kutafuta ulimwengu.Na yoyote mwenye kuzikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizoteremshwa na alama Zake zenye kujulisha uola Wake na uungu Wake, basi Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa hesabu, na Atawalipa kwa yale waliokuwa wakiyafanya.
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Katika Ukristo maana ya dini na dini inayofaa imezungumziwa katika Biblia, Yakobo 1:27
 
Hawana dini wachina wanajiendea endea tu kitamaduni.

Official China ni atheist country chini ya chama cha kikomunisti.
Nusu ya Wachina ni Atheists na nusu wana dini mbalimbali wengi wao wakiwa Wabudha.
 
Back
Top Bottom