Ukristo ni njia ya kwenda uziman kwa MUNGU MWENYEZI yohana14:6D
Ukristo siyo dini. Ni imani.
Waliitwa kwanza Wakristo na Waarabu wa Syria.
Dini ni Imani...Kuna tofauti ya Kati dini na Imani!? na kwanini hao waarabu wa Syria waliamua kuwaita wakristo?
fetishism kidooogo ina uelekeo flani, labda agnostics au deists wataishikilia, lakini animism, ni upuuzi mtupu, pamoja na theism.Kabla, watu walikuwa fetishism na animism, walitoka huko wakaingia polytheism then wakaingia monothiesm na siku hiz wanaingia atheism. Habari mbaya ni kwqmba haiwezekan dini kufa sababu steji zote hizo kuna watu wanabakiaga hapo (survivals)
So kwa sasa threat ya dini ni maendeleo ya sayansi na teknolojia. Na hii ndo inazakisha atheists kwa kasi sana
Inakuja ya kipenzi chetu Imaam Hussein Ibn Ali kipenzi chetu cha dhati maamaee.Haiwezekani, yaani dini ndo zinakufa halafu itokee nyingine? sidhani.
Hakutakua na Dini nyengine toka kwa Mungu sababu Tayari Mungu mwenyewe ameshatoa promise hio.Katika historia inaonyesha kabla ya Ukristo na Uislamu baadaye kulikwa na dini kubwa za maeneo mbalimbali lakini hazikuwa dini za kidunia kama Ukristo na Uislamu ambavyo zimekuwa dini za kidunia.
Je kuna uwezekano zikaja dini nyingine zikapiku Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia ikarudia kama enzi hizo za dini nyingi mbalimbali za kimaeneo/ kijamii/ kikanda?
Why fetishism brofetishism kidooogo ina uelekeo flani, labda agnostics au deists wataishikilia, lakini animism, ni upuuzi mtupu, pamoja na theism.
it makes a bit of senseWhy fetishism bro
Kwamb vitu vilivyoumbwa kwa mkono wa binadam mwenyew vina nguvu juu ya maisha yake?it makes a bit of sense
ah, nilimaanisha animismKwamb vitu vilivyoumbwa kwa mkono wa binadam mwenyew vina nguvu juu ya maisha yake?
Hawa unajua ndo wanaofanya matambiko mpaka leo. Wafrika wengi wamejaa hapoah, nilimaanisha animism
fetishism jau mambo ya sanamu
D
Ukristo siyo dini. Ni imani.
Waliitwa kwanza Wakristo na Waarabu wa Syria.
Kuanzia mwaka 2070, waafrika wengi watakua wameachana na hizi dini kwani watagundua ni za uongo.
2100 waafrika wataungana na kuwa taifa moja na kuanzia competition na watu weupe kwenye nyanja zote.
2250 wazungu watashindwa vita hiyo na kukimbilia sayari ya Mars.
Neno "dini" linatumika katika maana kadhaa. Ya kwanza ni uhuru, nguvu, utawala, ufalme, au utawala. Ya pili ni kinyume cha hii, yaani kuwasilisha, utii, huduma au unyenyekevu. Ya tatu ni kuhukumiwa, kuhukumu, au kutoa malipo na adhabu kwa matendo. Matumizi haya matatu yanapatikana katika Qur'an.
HQur'an 3:19
Hakika dini ambayo Mwenyezi Mungu Aliwachagulia waja Wake na Akawatumiliza kwayo Mitume Wake na ambayo Hakubali isipokuwa hiyo ni Uislamu. Nao ni kumnyenyekea Mwenyezi Mungu, Peke Yake, kwa kumtii na kujisalimisha Kwake kwa udhalilifu na kuwafuata Mitume katika yale waliotumilizwa kwayo katika kila kipindi mpaka wakahitimishwa kwa kuja Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ambaye, Hakubali Mwenyezi Mungu dini kutoka kwa yoyote, baada ya kutumilizwa kwake, isipokuwa Uislamu ambao alitumilizwa nao. Na tafauti baina ya Watu wa Kitabu, miongoni mwa Mayahudi na Wanaswara, iliyowafanya watengane wawe mapote na makundi, haikutokea ela baada ya kuthibiti hoja juu yao kwa kupelekwa Mitume na kuteremshwa Vitabu; hiyo ilitokana na uadui na uhasidi kwa kutafuta ulimwengu.Na yoyote mwenye kuzikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizoteremshwa na alama Zake zenye kujulisha uola Wake na uungu Wake, basi Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa hesabu, na Atawalipa kwa yale waliokuwa wakiyafanya.
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Poa kakaAcha kuwaza ujinga, pambana sasa
Hawana dini wachina wanajiendea endea tu kitamaduni.Kwani wachina ni dini gani? Kama wachina wote ni dini moja basi uwezekano upo tena sana.
Kuna hii dini ya watu kuabudu "makalio " hii nayo ni janga kubwa sanaKatika historia inaonyesha kabla ya Ukristo na Uislamu baadaye kulikwa na dini kubwa za maeneo mbalimbali lakini hazikuwa dini za kidunia kama Ukristo na Uislamu ambavyo zimekuwa dini za kidunia.
Je kuna uwezekano zikaja dini nyingine zikapiku Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia ikarudia kama enzi hizo za dini nyingi mbalimbali za kimaeneo/ kijamii/ kikanda?
Katika Ukristo maana ya dini na dini inayofaa imezungumziwa katika Biblia, Yakobo 1:27Neno "dini" linatumika katika maana kadhaa. Ya kwanza ni uhuru, nguvu, utawala, ufalme, au utawala. Ya pili ni kinyume cha hii, yaani kuwasilisha, utii, huduma au unyenyekevu. Ya tatu ni kuhukumiwa, kuhukumu, au kutoa malipo na adhabu kwa matendo. Matumizi haya matatu yanapatikana katika Qur'an.
HQur'an 3:19
Hakika dini ambayo Mwenyezi Mungu Aliwachagulia waja Wake na Akawatumiliza kwayo Mitume Wake na ambayo Hakubali isipokuwa hiyo ni Uislamu. Nao ni kumnyenyekea Mwenyezi Mungu, Peke Yake, kwa kumtii na kujisalimisha Kwake kwa udhalilifu na kuwafuata Mitume katika yale waliotumilizwa kwayo katika kila kipindi mpaka wakahitimishwa kwa kuja Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ambaye, Hakubali Mwenyezi Mungu dini kutoka kwa yoyote, baada ya kutumilizwa kwake, isipokuwa Uislamu ambao alitumilizwa nao. Na tafauti baina ya Watu wa Kitabu, miongoni mwa Mayahudi na Wanaswara, iliyowafanya watengane wawe mapote na makundi, haikutokea ela baada ya kuthibiti hoja juu yao kwa kupelekwa Mitume na kuteremshwa Vitabu; hiyo ilitokana na uadui na uhasidi kwa kutafuta ulimwengu.Na yoyote mwenye kuzikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizoteremshwa na alama Zake zenye kujulisha uola Wake na uungu Wake, basi Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa hesabu, na Atawalipa kwa yale waliokuwa wakiyafanya.
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis