Mimi kuna madactari nawafahamu(Dr. /Phd) walianzia huko, mmoja alifeli kidato cha nne akaanza certificate, akaja diploma, degree, mastershadi kuwa docta wa management na human resources na sasa kishatunukiwa uproff na dr. mwingine alianzia ualim wa shule ya msingi (grade 3A) hadi sasa ni dr wa kuheshimika. mwisho nina dogo alipata div 4 ya 28 na sasa yupo mwaka wa pili kozi ya IT. So sio lazima watu wote mpite njia rasmi na si kwel kwamba watu waliofel hawana akili/vilaza ila inategemea na vitu flan flan