Chiefmweusi
Member
- Sep 21, 2012
- 87
- 9
inawezekana ila uwe very serious ukiwa chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na VP kuhusu waliopiga arts .ni vyuo gan waweza kuaply. Kwa a lama za c- kisw na zingne d kasoro geog kwa mwaka 2011
WanaJF naombeni mnijulishe kama mtu anaweza kusomea cheti hadi degree baada ya kumaliza kidato cha nne, na ni kwa kozi zipi hasa.
Ikiwezekana mnipe mifano hai?
Ubaya au changAmoto kubwa ya kutumia hiyo njia ni gharama yake ni kubwa zaidi ukilinganisha na kupitia fom five na six na pia unatumiA miaka mitatu kufika chuokikuu badala ya miaka miwili kwa yule aliepitia kidato cha 5 na cha 6.