Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
Habari ya asubuhi
Kuna uwezekano wa mtu kupata mimba ikiwa alitumia p2 baada ya tendo?
Na ikiwa within a week baada ya Kutumia P2 alifanya tena tendo lakini hakuchukua tahadhari yoyote, let's say period ili anza tarehe 6 akamaliza tarehe10 tarehe16 mpaka kuamkia tarehe 17 alifanya sex hiyo hiyo tarehe 17 asubuhi baada ya tendo akatumia p2
Tarehe 20 akafanya sex tena lakini baada ya hapo hakuchukua tahadhari yoyote sasa ni mjamzito kwa hii situation mimba itakuwa ili iliingia lini hapo?
Kuna uwezekano wa mtu kupata mimba ikiwa alitumia p2 baada ya tendo?
Na ikiwa within a week baada ya Kutumia P2 alifanya tena tendo lakini hakuchukua tahadhari yoyote, let's say period ili anza tarehe 6 akamaliza tarehe10 tarehe16 mpaka kuamkia tarehe 17 alifanya sex hiyo hiyo tarehe 17 asubuhi baada ya tendo akatumia p2
Tarehe 20 akafanya sex tena lakini baada ya hapo hakuchukua tahadhari yoyote sasa ni mjamzito kwa hii situation mimba itakuwa ili iliingia lini hapo?