Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Unajua huyu tatizo lake sio kuzaa. Tatizo ni hajui hasa baba wa mtoto ni yupi. Yule alofanya nae tar 16 akameza p2 au yule wa tar 20. Yaani hapa anahangaika kujua ni yupi akamwambie 'Nina mimba yako'.Tulia uzae. Tayari "umeneti"