Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
- Thread starter
-
- #41
AsanteYou’re also right ila menstruation cycle ina mambo mengi. Mfano kwa cycle ya siku 28 kama ameanza period tarehe 6 basi ovulation inaweza kuanza tarehe 18 kwahiyo hapo ana window ya siku 1 tu kuanzia tarehe 17 (aliyosex) hadi 18. Bado alikuwa kwenye risk ya P2 kutofanya kazi. Check image below.
View attachment 3260986
Kwa ajili ya ninianza kutafuta elufu amusini tu
😳sasa itakuajeTatizo watu wengi hawajui kazi ya P2. Kazi yake sio kuzuia mimba directly wala kutoa mimba. Kazi ya P2 ni kuchelewesha yai kuja kwenye njia ya uzazi ready kwa ajili ya kukutana na mbegu ya mwanaume. Na ndio maana P2 husababisha mvurugano wa mzunguko wa hedhi kwa mwanamke kwasababu inaenda kuchelewesha utokaji wa yai. Kwahiyo kama yai lilikuwa limeshatoka au tumeseme mwanamke yupo kwenye ovulation wakati mnafanya sex basi hiyo P2 haiwezi kufanya kazi hata siku moja. Na pia kuna sababu nyingine kama uzito wa mwanamke zinaweza kuchangia P2 isifanye kazi ipasavyo.
JIBU: Kwa mpangilio wa hizo tarehe za period hadi kufanya sex, kuna high chances tarehe 16/17 alikuwa tayari ameanza ovulation (egg lilikuwa released on that day) kwahiyo P2 haikuweza kufanya kazi yake inavyotakiwa.
P2 haina ufanisi wa 100% endapo utafanya unprotected sex during ovulationKilekulamba mkuu ulitumia p2 feki😂
Ahahah,ukute anakuja kuwa kama jiwe huyo mtoto wenyewe,unaweza ukafa mama ye akabakiaKuna mimba zingine lazima mtoto azaliwe utake usitake.
Hata ukimeza p2 box zima, uende kwa daktari bingwa akutoe mimba ila mtoto tumboni atakung'ang'ania tu.
Achague kusuka ama kunyoa. Aongee na mwenzake wajue mpango wao kwenye hilo jambo. Aache kujiuliza imekuwaje amepata mimba wakati tayari anajua ameipataje. Unless anachotaka kujua ni “nani baba wa mtoto” kama wa trh 17 na trh 20 ni wanaume wawili tofauti. Kama ni hilo basi yule wa tarehe 20 ana high chances (sio all chances) za kuwa baba mtoto. 😅😳sasa itakuaje
😅 pagumu hapa sanaa yani ukisikia kuyatimba ndo huku sasaAchague kusuka ama kunyoa. Aongee na mwenzake wajue mpango wao kwenye hilo jambo. Aache kujiuliza imekuwaje amepata mimba wakati tayari anajua ameipataje. Unless anachotaka kujua ni “nani baba wa mtoto” kama wa trh 17 na trh 20 ni wanaume wawili tofauti. Kama ni hilo basi yule wa tarehe 20 ana high chances (sio all chances) za kuwa baba mtoto
Wauza dawa inabidi wawe wanatoa elimu kabla ya kutoa hii dawa hii itakuja kuwagharimu watu wengi sanaP2 haina ufanisi wa 100% endapo utafanya unprotected sex during ovulation
😂 😂 😂 Ahsante sanaHamna shida inawapata wanawake kama kuwa na wanaume zaidi ya mmoja na wote unawavulia chupi muda wowote na saa yoyote.
Hapo ni mtu anataka ajue Mimba ni ya bwana ATHUMANI au bwana IDRISA.
kwanza Hongera kwa kuwa Mjamzito
Pili Pole kwa kutojua Mimba ni ya nani.
Ushauri :
Wambie Wote kuwa unaujauzito, Ataekubali Ndio baba mtoto.
Note :
Ataekataa anaweza kuwa ndio baba mtoto pia.
"Ukome Mwaya"