Kuna uwezekano wa Kuwa Spy bila kupitia Jeshi??

Kuna uwezekano wa Kuwa Spy bila kupitia Jeshi??

Kwa Moviea kadhaa nilizoangalia Informer ni mtu yule ambae anakuwa ndani ya kikund anaiba intel yaan inside guy, wakat spy ni mtu anaejipachika katika mazingira fulan kutoka kwa agency au bureau
🙏🙏
 
Kuna spy na kuna WAMBEA.
Mtu yeyote anaweza kuwa mbea ila kuwa spy sio wote wanaweza.
Angalia movie ya jet Lee.
My father is hero
Jet Lee kacheza Kama spy
 
Kuna maspy wengine wapo tu mtaani, kazi kuangalia umekula nini..

Wa uswahilini ndio nuksi, unaweza kuibiwa godoro lako 7 mchana wasijue, ila ukiingiza demu 9 usiku hanamjua rangi, sauti yake mpaka muda wa kutoka [emoji23][emoji1787]

Uswahilini raha saana[emoji1787]
[emoji16][emoji16] dah bongo kuna watu mna akili sana mnafikiria hadi kero.kwamba unaweza ikibiwa mchana wasijue Ila demu hadi rangi wanamjua
 
Spy = mpelelezi lazima mafunzo
wakati
informer=mpasha habari hatakama hana mafunzo ni poa bt ajue nini anatolea taarifa
 
Habari za wakati huu wakuu?

Natamani kujua, maana kuna Watu unaweza kudokezewa kuwa ni pandikizi but ukiwaangalia hawako strong,yaani ni wa kawaida tu kama mtu ambae hajapitia mafunzo. Je,kuna uwezekano wa kuifanya Kazi Hii bila kupitia mafunzo ya Jeshi?? Hasahasa kwa hawa informers?
Tena spy mzuri ni yule anayefit profile.Ukipitia Jeshi unaleta ulizo ila ukiwa na normal profile unakuwa na urahisi katika kufit in
 
Spy wa Bongo hawa wana nini mbali na kutisha watu kwenye mabaa na vibastola vyao na kupora wake/wapenzi za watu?

Spy nenda CIA, Mossad, M16 na then KGB wanafanya ushushushu wa kiuchumi kusaidia nchi zao kujikwamua....hovyo tu!

Spy wanashindwa hata kumkamata mole aliyekuwa anavujisha siri nzito za serikali wakati wa Magufuli? Kwa miaka mitano mizima? [emoji15][emoji15]
 
Spy wa Bongo hawa wana nini mbali na kutisha watu kwenye mabaa na vibastola vyao na kupora wake/wapenzi za watu?

Spy nenda CIA, Mossad, M16 na then KGB wanafanya ushushushu wa kiuchumi kusaidia nchi zao kujikwamua....hovyo tu!

Spy wanashindwa hata kumkamata mtu aliyekuwa anavujisha siri nzito za serikali wakati wa Magufuli?
Umeona ee
Bhali na tuja gete
 
Spy wa Bongo hawa wana nini mbali na kutisha watu kwenye mabaa na vibastola vyao na kupora wake/wapenzi za watu?

Spy nenda CIA, Mossad, M16 na then KGB wanafanya ushushushu wa kiuchumi kusaidia nchi zao kujikwamua....hovyo tu!

Spy wanashindwa hata kumkamata mtu aliyekuwa anavujisha siri nzito za serikali wakati wa Magufuli?
Ile ilikuwa ni zaidi ya aibu.



Hakika usaliti ni halisi.
 
Ile ilikuwa ni zaidi ya aibu.



Hakika usaliti ni halisi.
Ajabu kafa tu akina Kigogo wote wameshika madaraka siri hazivuji tena. Siasa kwa hakika ni mchezo mchafu na wa hatari sana aisee. Ukizubaa tu wasaliti wanaku-chachawangwe mchezo kwisha unalala yooo [emoji445][emoji445]

Ngoja tuone hawa wasaliti mwisho wao utakavyokuwa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Ajabu kafa tu akina Kigogo wote wameshika madaraka siri hazivuji tena. Siasa kwa hakika ni mchezo mchafu na wa hatari sana aisee. Ukizubaa tu wasaliti wanaku-chachawangwe mchezo kwisha unalala yooo [emoji445][emoji445]

Ngoja tuone hawa wasaliti mwisho wao utakavyokuwa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Wakulima wa siasa.
 
haiwezekani hata kidogo
maana spy ni kwa ngazi ya utaifa hivyo ni wateule wachache walio iva hasa kuanzia utimamu wa fikra na mwili.
Marehemu Mahiga, mzee wa joka la mdimu, Kipilimba wote hao walikua na vyeo gani jeshini?
 
Back
Top Bottom