Ajabu kafa tu akina Kigogo wote wameshika madaraka siri hazivuji tena. Siasa kwa hakika ni mchezo mchafu na wa hatari sana aisee. Ukizubaa tu wasaliti wanaku-chachawangwe mchezo kwisha unalala yooo [emoji445][emoji445]
Ngoja tuone hawa wasaliti mwisho wao utakavyokuwa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]