SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Acha kutumia lugha ya mabeberu na wakati mwenyekiti wako hapendiYou may have a point.
Kwasababu wao wamezoea kudukua mifumo ya uchaguzi wanahisi kila mtu anawaza wizi tuWajinga wengi wa Lumumba kazi yenu kubwa ni "KUDULIWA" masaburi yenu ndiyo maana Akili Zenu ni matege
watu tunatofautiana jman hiv magu ana nini au kanya nin mpaka mtu ampe kura..duuh jmnYan mm na akili zangu niende kwenye kituo cha kupiga kura nmepe mlopokaji (lissu) kura yangu? Never never.. ...ni jambo jema taadhari muhimu
Jamaa ni woga tu umemtanda. Lakini hakuna lisilowezekana Ilidukuliwa Marekan sembuse huu utopolo wa TCRA??Yawezekana wewe utakuwa unaamimi una uwezo mkubwa wa kuona na kuchambua mambo. Lakini naamini unakosa vitu vingi sana. Sijui ni kukosa uelewa au huna taarifa au ni mvivu wa kujielimisha kiasi kwamba huna uwezo wa kutambua kama unayolishwa ni kweli au uwongo.
Kuna mafanikio madogo sana ya kiuchumi katika awamu hii kuliko mbili zilizotangulia. Tafuta vigezo vya ukuaji wa uchumi, ndiyo utaelewa.
Hata kwa indicators za ndani, tupo kwenye nafasi duni kuliko ukuaji wa awamu nilizozitaja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfugale flyoverMkuu bongo kuna ishu gani mpaka wadukue? acha mawazo hayo
Hehehe mkuu CCM hawawezi kubali kwenda fair hivyo watapotea mchana tu. Lazima wawe na ma agent wao wa kuforce, masanduku ya kura za ziada zile.mkuu binadam tumeumbwa kuwaza na wenda umewaza vizuri ila pamoja na mawazo yako mkuu dawa ni moja tu ccm wajipange tu kwamba kwenye vituo kura zihesabike kwa uwazi then si watakua na hard copy amabazo watazijumlisha kwa nchi nzima? na ambazo kila wakala wa chama atakua amesain so ikitokea mfumo ukaingiliwa basi hard copy zitatumika na hapa kwa kweli hatutaki chama chochote kuonewa iwe ccm au vyama pinzani tunataka alieshindwa au kushinda basi iwe halali basi cha msingi huko kwenye vituo kura ziehesabike kwa uwazi na hizo ndo zitumwe kwenye mfumo,
na namheshim sana jpm ni matumaiin yangu na kwa sababu ni mcha mungu na kwa kua kushinda au kushindwa hakumpunguzii chochote au kumuongezea chochote nafikili atayapokea matokeo yoyote yatakyo patikana ali hali bado ana baki kama mzee wetu wa kitaifa na watanzania tutaendelea kumtunza na kuitunza hadhi yake kama rais au kama rais mstahafu , yaliyopita yamepita. mzee maghu hatakiwi kuwa na wasiwasi kwa sasa hapaitajiki visasi tena
Woga tu anatafuta visababu vya kusema hapo baadae.Mkuu bongo kuna ishu gani mpaka wadukue? acha mawazo hayo
Na hilo ndio limewatawanya wote. WamepoteanaHehehe mkuu CCM hawawezi kubali kwenda fair hivyo watapotea mchana tu. Lazima wawe na ma agent wao wa kuforce, masanduku ya kura za ziada zile.
Mwitikio umewatisha hawakutarajia pamoja na biti lao watu nado walienda kumpokea
Sioni sababu yoyote ya kumpa kura mtu aliyeshindwa kuleta mabadiliko chanya kwa mikaa 5. Huku alikuwa waziri kwa miaka zaidi ya 20 humo humowatu tunatofautiana jman hiv magu ana nini au kanya nin mpaka mtu ampe kura..duuh jmn