David Serikali
Member
- Mar 2, 2012
- 57
- 17
Ukisema wahabeshi unamaanisha nn mkuu???
Kwa rekodi za karibuni Algeria tulikutana nao kwao matokeo ni 1-1 na huku pia sare ingawa baada ya hapo jamaa walipanda sana kwenye chat na sis kushuka ila maajabu yanaweza tokea
Tunawategemea Samata Na Ulimwengu Watupe Ushindi,wao Timu Nzima Inategemewa Kuwapa Ushindi,tusijipe Moyo Tusibirie Miracle Tu.
Kwa kulinganisha hizi timu mbili ni kama tumetoka lakini mpira hauko hivyo.Nazikumbuka mnoo game za South Korea na Spain,South Korea na Italy- World cup2002.Na nikiwa kama mchezaji niliecheza mpira kwa mafanikio ya juu na kiwango kikubwa nawapa turufu starz ya kusonga mbele.
Siyo kweli kwamba sisi tunawategemea wachezaji wawili tu watupe ushindi, haya ni mawazo potofu, tubadilike. Kila mchezaji anao mchango mkubwa sana kufanikisha ushindi hivyo timu inawategemea wachezaji wote.
Hakuna cha kusubiri miujiza, tujiandae kuwabamiza kipigo cha mbwa mwizi hadi Afrika na dunia nzima ishangae, huu ndio muda muafaka wa kudhihirisha ubora wa soka letu.
Algeria tutawashinda. Hawatatufunga hata mechi moja. Kwa Stars ndio mwisho wao. Mkwasa ndiye mwisho wa manung'uniko yetu. Stars tunawaamini