David Serikali
Member
- Mar 2, 2012
- 57
- 17
Timu ya mpira wa miguu ya Tanzania, Taifa Stars yalejea Nchini na ushindi mwembamba wa 2-1 ikitokea Malawi na kueleza mkakati wake wa kusonga mbele inapoelekea kucheza na Algeria kutafuta nafasiya kufuzu kucheza kombe la Dunia mwaka 2018.
Kwa mchezo waliouonyesha Taifa Stars pindi walipocheza uwanja wa Nyumbani na kisha ugenini, unadhani kuna uwezekano wa na kusonga mbele?
Kwa mchezo waliouonyesha Taifa Stars pindi walipocheza uwanja wa Nyumbani na kisha ugenini, unadhani kuna uwezekano wa na kusonga mbele?