Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa....Wakigoma Balaa litakuwa sio la nchi hii....Tatizo watu walioajiriwa serikali wanajiona wao ndio alpha na omega wanasahau mishahara yao inatokana na sector binafsi.
Kuna makosa mengine trafik police anatakiwa akuweke sawa tu hayaitaji nguvu sjui nkuweke lokup...Ni vema raia tukajifunza utii wa sheria bila shurti. Pia kwa baadhi ya askari kutumia nguvu kuzidi kiasi sio sahihi.
Kuna askari waungwana na wengine wapuuzi. Kuna msemo mmoja wa kiswahili unasema kwamba "katika msafara wa mamba na kenge pia wamo"Kuna makosa mengine trafik police anatakiwa akuweke sawa tu hayaitaji nguvu sjui nkuweke lokup...
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa vizuri sanaDaah, naomba nijibu kitaalam zaidi. Katika saikolojia ya binadamu kuna kitu kinaitwa ‘Compensation behavior’, hii huonyeshwa hata na mtoto wa shule ambae anashindwa kung’ara katika masomo na badala yake anaamua kung’ara kwa njia zingine, mfano kupiga kelele darasani, kuwa mkorofi darasani, kujifanya comedian nk.
Tukirudi kwa hao form 4 failure, nadhani sasa inaeleweka why wanafanya hivyo..
Mkuu wa mkoa amelizungumzia hili
Ana kuambia kuna taarifa wamezipata sijui dereva alikuwa anaumwa,mara aliendesha gari lina yumba...so kaunda kamati ya uchunguzi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kabisa na mapimbi wenzie wa Lumumba .haya ndiyo johnthebaptist anayapongeza