Kuna Video iliyokuwa ikionesha Polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori. Polisi wadai amekufa kwa homa ya mapafu

Ila madereva wa malori huwa ni wakorof na wana lugha za matusi Sana,mi naona sawa tu, sheria isipofuatwa mtu lazima awajibishwe,
 
Story ya kusikitisha sana. Mamlaka husika ziingilie kati kutatua matatizo haya kabla hayajawa utaratibu wa kila siku.
 
Nimekuelewa vizuri sana
 
Niliwahi kumtafuta mtetezi wa Madereva lakini sikuwahi kumpata. Tajiri anaijali mali yake dereva kwake ni mbwa tu, trafiki anaijali buku buku wanayowekewa kwenye kadi ya gari.
 
Kwani ni.lazima kushuka kwenye gari?? Kama umetii na umesima...wakataka leseni ukawapa? Kwa nn wakushushe kwa nguvu kwenye gari mpaka kupelekea kifo?
Haki itendeke
 
IGP Simon Sirro najua kwa sasa utakuwa jijini Dar tena kwenye sherehe ya kuwatunuku baadhi ya vijana wako kuhitimu mafunzo.

Tafadhali issues kama hizi zinadhalilisha jeshi lako na kukuweka kwenye tanuru, hebu toa mfano kwa hawa vijana wako kwa kitendo hiki.



NB:
Vaa barakoa, nawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pia uwe mbali na mikusanyiko.
 
Baadhi ya Askari polisi Ni tatizo Sana..wanajionaga Kama miunga watu wakati matatizo yamewajaa Hadi kichwani.
 
Nimejikuta machozi yamenilenga lenga tu. Kwakweli ndugu wa marehemu Mungu awape uvumilivu mkubwa sana sana. Poleni madereva wote najua vile mnajiskia lkn kila mtu kwa imani yake amuombee marehemu pumziko la milele. Lkn sote tupaze sauti kukemea huu Udhalimu wa Kikoloni.
 
Kuna jamaa mmoja anakwambia kama wazee wakimzingua yeye atawaendea kwa sngm atawalilia huko

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Dereva angepimwa corona kwanza ingependeza zaidi.
 
Huyu TBI imemsombaa pale alipodondoshwa toka kwenye garii...!! Yani Polisi hawa wanavuta mtu kama mbwa kwelii as if ni gunia la mahindi.. inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…