Vizuri sana..wewe utanipigaje makofi kipuuzi puuzi tu.Juzi kati hapa kimara mwisho ilikua Jmosi mida ya saa mbili usiku trafik kamkimbiza hawa jamaa wabeba mizigo kweny kirikuu..alivofika akaanza kumpiga vibao jamaa ..jamaa mtu mzima kwanini asimpelekee gari trafik akadondoka jamaa akampitia mara mbili miguu vunjika vunjika..jamaa akasepa.
Hili la kujichukulia sheria mkonon sijui wanatumia sheria ipi!!
Imetokaa hiyoKuna aliyesema uchunguzi ufanywe kujua Kama dereva kafia sero au mochwari.
Madereva ni muda sasa wa kuzitumia gari zenu kama siraha pindi muwaonapoa hawa daylight robbers
Angekuwa ndugu yangu ningeenda kuroga wote hao waliousika.
na watu waliona trafiki ana kosa..walichofanya ni kumweka kwenye bajaji apelekwe hosp..Wamama wakaanza kusema yaani huyu alikua mzima sasa hivi ona sasa miguu imegeuka uji..πkilema cha maishaVizuri sana..wewe utanipigaje makofi kipuuzi puuzi tu.
Hapo wanacholaani ni kuchukuliwa kwa hivo video, maana wangeruka kihunzi mapema tu..lakini sasa wameshaumbuka.Hii LAANA itawaandama maisha yao yote, nasikiliza maelezo ya mkuu wa mkoa , maelezo ya kipuuzi kabisa, hivi unawezaje kutetea jambo ambalo liko wazi kabisa lenye ushahidi wa video ...kwamba aliyesababisha kifo ni askari trafiki.
Tukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.
Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio maana kaunda kamati maalumu kuthibitisha hilo!RC muongo muongo tu ,Mwenyekiti wa madereva wa malori kaconfirm kwamba Dereva alikufa mikononi mwa polisi.
Kwako Mwalimu Kashasha.
Development has no party.
Kuchunguza chanzo cha mauaji!Kama CCM siyo wauaji ,huyo mkuu wa mkoa ameunda tume ya nini?
Tukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.
Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.
Maendeleo hayana vyama!
πππ, Ko kila failure solutions n kujiuzulu?, Wacha tusubir majibu ya hyo kamat wahusika wawajibishwe , small minded hata hili watamuhusisha Rais ππTukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.
Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.
Maendeleo hayana vyama!
Ahsante GT!Rais Mstaafu Mzee Ally Hassan Mwinyi,
Alikua Waziri Wa Mambo Ya Ndani kipindi cha utawala wa Mwalimu J K Nyerere mwaka 1977, polisi walisababisha vifo vya raia huko Mwanza na Shinyanga. Aliandika barua hii kwa Mwalimu Nyerere.View attachment 1689432
Hapa hatuko kwenye siasa bwashee.Na huyo dereva alipigia kura kijani na njano, swadakta mitano tena.