Kuna Video iliyokuwa ikionesha Polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori. Polisi wadai amekufa kwa homa ya mapafu

Kesi ngumu sana hii ila haiondoi kosa ka askari hao.

Tatizo watu wengi wanaendekeza shida binafsi kwenye masuala yanayohitaji weledi, polisi wengi wanachangamoto za kimaisha hali inayopelekea kufanya maamuz yenye kusukumwa na mihemko ndani yake
Ndomana watu wengine wanaamua kukushtakia kwa mungu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Acha Unafiki wewe ni mwanaume... Hutakiwi kuishi hivi
 
Hili si sawa matukio ya matumizi ya nguvu zaidi yanaanza jirudia, tunaomba hatua kali stahiki zichukuliwe dhidi ya wahusika. Pumzika kwa amani kamanda
 
Tatizo ni nchi inaongozwa na washamba na malimbukeni
 
KUSANYA TAARIFA URUDI TENA MAANA HUJATAJA MBEYA ENEO GANI? DEREVA NI NANI ALIKUWA NA KOSA GANI? BAADA KIFO KUTOKEA WANANDUGU WAMEPEWA MWILI QU HAPANA AU WAMEZIKA WAPI. USIPANDE CHUKI BUREEEE.
Mchawi ni mchawi tu
 
Kwani ni.lazima kushuka kwenye gari?? Kama umetii na umesima...wakataka leseni ukawapa? Kwa nn wakushushe kwa nguvu kwenye gari mpaka kupelekea kifo?
Haki itendeke

Mi nadhani kama alikuwa hataki kushuka wangechukua funguo na leseni kisha wakamuacha dereva wamsubiri chini mpaka atakapo taka mwenyewe kushuka
 
na watu waliona trafiki ana kosa..walichofanya ni kumweka kwenye bajaji apelekwe hosp..Wamama wakaanza kusema yaani huyu alikua mzima sasa hivi ona sasa miguu imegeuka uji..[emoji3]kilema cha maisha

Duh kuna watu wapo serious na maisha hawataki upuuzi
Huyo traffic atakuwa somo kwa wenzie,Kuna magroup yao huko watsap lazima wanapashana habari [emoji1][emoji1][emoji1]
 
KUSANYA TAARIFA URUDI TENA MAANA HUJATAJA MBEYA ENEO GANI? DEREVA NI NANI ALIKUWA NA KOSA GANI? BAADA KIFO KUTOKEA WANANDUGU WAMEPEWA MWILI QU HAPANA AU WAMEZIKA WAPI. USIPANDE CHUKI BUREEEE.

Kosa traffic case
Eneo Inyala Mbeya
Dereva kafa
Ndugu wanataka uchunguzi
Mkoa uchunguzi wa kina
Madereva Uonevu umezidi
Wananchi Yetu macho
 
...Mkuu, Usisahau pia hawa Sums JKT ndio walisababisha pia Kifo cha Kiongozi wetu was Coastal Union pale Muhimbili...kosa lake kubwa likiwa no kumtetea Muendesha Boda Boca asipigwe nao....
 
You're a Wiseman 🙏
 
Zamani ilikuwa ukifeli form four unaenda upolisi. So inaeleweka kwa nini wana reasoning ya namna hii.
 
Stress za kuisaidia ccm kuiba kura kisha ccm umewatupa Hadi uchaguzi ujao
 
Kwani ni.lazima kushuka kwenye gari?? Kama umetii na umesima...wakataka leseni ukawapa? Kwa nn wakushushe kwa nguvu kwenye gari mpaka kupelekea kifo?
Haki itendeke
Siku ingine watakutana na kichaa gari ipo kwenye gia anakanyaga moto chagua uruke au mufe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…