Kuna video inazunguka kuhusu askari wa kenya kuuawa kinyama somalia

Status
Not open for further replies.

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Kuna video inasaaba kwenye mitandao. Hiyo video ni ya kutisha. Askari wa kenya anauliwa kinyama mbele ya kamera.

Kabla ya kuuliwa askari huyo katoa malalamiko yake kuwa wanatakiwa waondoke Somalia.

Ninataka kujua ukweli. Kenya inafanya nini huko somalia!?

Askari kapigwa risasi live na akafa hapo hapo.
Eee Mungu uwape hekima viongozi wa africa.
 
Wazazi wake,familia yake,nđugu na jamaa zake wakimuona mpendwa wao anauwawa kinyama sijui wanapatwa na hali gan.very sad.
Bado kuna mijinga inafurahia Kuwepo kule
hao jamaa hawana chakupoteza
Wao wamesha jitoa
mkimuua Alshabb hakuna Familia inayo weka msiba
ila Wakenya hilo hawalioni
wameua Alshabb 4 Nairobi
huku zaidi ya roho za wakenya 20+ zimepotea na wengine wamepewa Ulema
Ngoja tuone
 
maumbwa koko nyinyi mnafurahia sana.
 
Mjinga na mpumbavu sana!! Unafurahia sasa. Umepost kwa sababu unafurahi. Tumia akili, wacha kutumia makalio kufikiria. Shenzi sana
 
Jirani zangu Kenya, Wasomali (alshabaab) wanafanya hvyo kuwauzunisha pia wanataka muhamaki ili mwende kichwakichwa jipangeni muwaadabishe hawa wanyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hayo sio malalamiko yake.
Hayo ni malalamiko ya Alshabaab, wakamlazimisha aseme.

Somalia hatubanduki.
 

Kutoka Kenya tuingie Somalia.

1. Serikali ya Somalia imepata nguvu.
2. Uchaguzi nchini Somalia.
3. Economy ya Somalia imeendela pakubwa.
4. Mashambulizi nchini Somalia yamepungua pakubwa.
5. Mashambulizi Kenya yamepungua pakubwa.
6. Al shabaab zaidi ya 50,000 wameuliwa.
7. Al shabaab wamepunguzwa nguvu kwa zaidi ya asilimia 90.
8. Exports kutoka Kenya hadi Somalia zimeongezeka.

Sasa, Napoleone kimbelembele kutoka Jamiiforums ndiye ataskizwa, ama tutaskiza data?
Wadhani Wakenya ni waoga kama Watanzania?
Kama mnaweza tumia vichwa vyenu vizuri, sasa hivi mngekuwa investor wakubwa DRC.
Lakini Kenya ambayo hata haina border na DRC ndio inaongoza kwa biashara huko.
 
Mjinga na mpumbavu sana!! Unafurahia sasa. Umepost kwa sababu unafurahi. Tumia akili, wacha kutumia makalio kufikiria. Shenzi sana
mkuu mbona kama umerukwa akili ,mtoa mada ni wapi kafurahia au wewe ni alshababi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…